Smart Guy
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,701
- 6,658
Tupo mkuu hii ngoma ni Kali sana naipa 100%wadau mmegoma mamake hii sio poa
Tupo mkuu hii ngoma ni Kali sana naipa 100%wadau mmegoma mamake hii sio poa
anajua sana huyu jamaaTupo mkuu hii ngoma ni Kali sana naipa 100%
mbovuu kabisa
Saaaaaana tuuuuuuuanajua sana huyu jamaa
Hilo nalo la msingingoja tusubirie video kama atatoa
p a m o j a m k u uHilo nalo la msingi
Mkuu nimeisikiliza kama mara tatu ,kwenye hiphop huwa pia kuna mtindo wa muda flani kama ilivyo bolingo kuna kipindi cha kibinda nkoi au shamukwale etc sasa hii staili kurudia rudia neno ni enzi zile kina '' hey blue say blue wote blue blue '' au ''watu kibao '' by wateule ,leo hiphop imeevolute sana hebu msikize dogo hapa ''Nikki Mbishi - Playboy (Feat. Ben Paul) - Listen on Deezer''ni maoni yako tu mkuu ila jaribu kutuliZa akili yako alaf skiliza tena
p a m o j a m k u u
nakuamini mwanangu yeyote atakaechukia huyo ni mchawi mwananguHii ni ngoma kali mwanangu, Maboya hawezi elewa mwanangu...
Mkuu nimeisikiliza kama mara tatu ,kwenye hiphop huwa pia kuna mtindo wa muda flani kama ilivyo bolingo kuna kipindi cha kibinda nkoi au shamukwale etc sasa hii staili kurudia rudia neno ni enzi zile kina '' hey blue say blue wote blue blue '' au ''watu kibao '' by wateule ,leo hiphop imeevolute sana hebu msikize dogo hapa ''Nikki Mbishi - Playboy (Feat. Ben Paul) - Listen on Deezer''
Mkuu nimeisikiliza kama mara tatu ,kwenye hiphop huwa pia kuna mtindo wa muda flani kama ilivyo bolingo kuna kipindi cha kibinda nkoi au shamukwale etc sasa hii staili kurudia rudia neno ni enzi zile kina '' hey blue say blue wote blue blue '' au ''watu kibao '' by wateule ,leo hiphop imeevolute sana hebu msikize dogo hapa ''Nikki Mbishi - Playboy (Feat. Ben Paul) - Listen on Deezer''
Nakiri nimetumia lugha kali,lakini sababu ni kuwa P the Mc ni moja ya wasanii wachache sana waliona heshima mtaani kutoa leve hii ndogo naona anaturudisha nyuma sanaapo nimekusoma ila ungesema idea aloitumia ni ya kizamani sana
Nakiri nimetumia lugha kali,lakini sababu ni kuwa P the Mc ni moja ya wasanii wachache sana waliona heshima mtaani kutoa leve hii ndogo naona anaturudisha nyuma sana