Unahitaji utajiri wa fasta? Pitia hapa

Unahitaji utajiri wa fasta? Pitia hapa

Mimi sababu kubwaaaa ya kutafuta hela ndefu na nyingi ni kutandaza miti at will pembe zote za dunia. Hapa nilipo ni thousandonare lakini eligible pusi hazinipiti kizembezembe je ni kikamata mamilion ya dollars ntafuata mbunye hadi kusini mwa Argentina
Katika hili nakuunga mnoko. Aah sorry nimechapia nakuunga mkono. 🙌🏾
Hela ikiwepo nitafika mpaka kusini mwa Argentina kutafuta nyuchi
 
Ukimaliza zoezi hili ukiona bado wala hakuna dalili za pesa inabidi uanze kwanza na ancientral wako nenda kwenye kapori chimba kashiimo weka 500 fukia nusu kishimo omba mwaga wine then malizia kufukia mpaka juu mwaga yought fresh then go dont turn back then rudia zoezi uone kivumbi chake
Kwa hio hela inakuja kivp yani......bila biashara au utaokota burungutu
 
Rudi reverse kwenye history.

Reasons for widening gap between Africa and Europe.

Kuna looting, slave trade, piracy, colonization nk yaani manjia haramu tu ndizo zilifanya wazungu wakatupiga gap.

Kuna crusades hizi ni vita vya kidini.

Ukitaka maendeleo lazima ujiongeze kwelikweli
Sawa unaweza kuwa sahihi kwa namna fulani, lakini je hayo ni maneno sahihi ya kusema mbele ya kadamnasi na mtu mwenye ushawishi kama yeye humu JF?
 
Habarini ndugu zangu wa JamiiForums,

Mada hii ni maalum kwa wale wanaotaka utajiri wa haraka bila kujali madhara yake

Kabla sijaendelea na muktadha wa mada lazima niwaambie na mlitambue hili kwa hakika Dunia hii ndugu zangu ni katili tena ni katili hasa na viumbe wake ni watu wabaya na wenye rohombaya hasa.

Usisadiki kamwe wala kuaminishwa na stori za vijiweni za mafanikio ya wengine kupitia uchawi, ushirikina au ulozi.

Kumbuka hili kwenye kila fanikio la mtu nyuma yake kuna sehemu ya siri ambayo kamwe hatakuwa tayari ku share nawe hata umpe nini kumbuka sana hili na lizingatie

Sasa basi hiki kitu kinachoitwa utajiri ninini? Utajiri ni kuwa na makaratasi mengi sana yanayoitwa pesa. Ukiwa na haya makaratasi maalum mengi mengi sana ndio unaweza kuwa na uwezo wa kufanya chochote utakacho kwa matamanio ya kawaida ya kibinadamu.

Tunatofautiana kiwango cha wingi wa umiliki wa haya makaratasi maalum yaitwayo fedha au pesa au shekeli na kwa kadiri unavyoyamiliki kwa wingi ndio uchoyo ubinafsi ubahili na rohombaya unavyokutamaki ni jambo la kiasili mno.

Pesa haina rafiki..pesa haina utu..bali pesa hujisimamia yenyewe...ndio maana unaambiwa ya kwamba PESA HUENDA KWENYE PESA..
Pesa ina mikondo yake
Pesa ina mifereji yake
Pesa ina formula zake
Pesa huambukiza pesa, kwa hiyo ukihitaji pesa ni lazima uwe na pesa na hili sio utani wala sio maskhara!

Tafuta kwanza kianzio ndio upate kiendelezo chake kwa njia hizohizo!

Usitegemee wala usijidanganye kama kuna njia za mkato kwenye utajiri. Huo utajiri ili kuupata unahitaji pesa pia, pesa nyingi, pesa za kuharibu na kuangamiza ili upate maradufu yake!

Utajiri unaoitwa wa mkato ama haraka unahitaji makafara makubwa, hakuna kitu kinakula pesa kama haya makafara, lakini ni lazima umpate mtakatifu mwenye dhambi la sivyo utaishia kupigwa.

Hakuna cha bure duniani na kila mtu ni mhitaji. Usidanganywe na waganga wa mitandaoni na wale wanaotoa pesa za majini. Majini hayaendeshwi na kiumbe dhaifu aitwaye binadamu.

Katika hali hiyo uliyo nayo na changamoto ulizonazo kwenda kwa mganga akupe dawa ya utajiri ni kujitia dhambi bure na kumfaidisha mganga.

Utajiri wa pesa ni mali ya mkuu wa anga na ili uupate ni lazima utoe sadaka kubwa. HAKUNA CHA BURE DUNIANI. Kishapo uingie mikataba yenye masharti magumu na mazito.

Matajiri wetu kila mmoja ana siri yake binafsi na wana siri za jumla kulingana na kiwango cha ukwasi wao.

Kama bado hata hela ya kujihudumia inakupiga chenga usijihangaishe kutafuta utajiri huu wa shortcut. Utaishia maumivu ya kutapeliwa.
Ni kweli Mshana Jr , Matajiri wengi walitusua kwa kufanya jambo la upigaji ,wengine kuuza ngada,wengine pembe za ndovu ,wengine epa,ukwepaji wa kodi ,wengine kuongeza 0000 kwenye manunuzi ya umma ,mafekeche kazini , utapeli etc
 
Mshana Jr umenichanganya kidogo.

Mwanzo ulisema ukiwa na pesa, unazidi kuwa na roho mbaya. Ila mwishoni ukasema ili kupata pesa lazima utumie njia haramu.

Sasa ninataka uniambie, kati ya roho mbaya na utajiri ni kipi kinaanza?

Mtu anakuwa na roho mbaya ndiyo anafanikiwa, au mtu anafanikiwa ndiyo anakuwa na roho ngumu na mbaya?

Kumbuka pia mitaani Kuna msemo kwamba "matajiri wana roho mbaya" uchoyo, n.k.

Ili mtu apate Mali, anahitaji kuwa na I roho mbaya, au ili mtu awe na roho mbaya anahitaji pesa?
Mkuu mimi ninachojua ili uwe tajiri, lazima uwe na roho mbaya. Asilimia kubwa ya matajiri ni wana roho mbaya, wanadhulumu watu mishahara/pesa wakati wao wanaingiza mabilioni, wengi ni wezi(wa kalamu), wafitinishaji, watafanya lolote ili wabaki juu nk.

Roho nzuri na utajiri hata haviendani.
 
Daah hata nimekuelewa sasa

Upweke unaniandama Mshana nipe dawa ya kupata mwanamke.
 
Rudi reverse kwenye history.

Reasons for widening gap between Africa and Europe.

Kuna looting, slave trade, piracy, colonization nk yaani manjia haramu tu ndizo zilifanya wazungu wakatupiga gap.

Kuna crusades hizi ni vita vya kidini.

Ukitaka maendeleo lazima ujiongeze kwelikweli
Nakubaliana nawe! ila nasisitiza tu kuwa hata kabla ya hayo yote bado Europeans walikuwa tayari wametupiga gap kubwa saaaaaana karibu katika kila idara nzuri, na ndiyo sababu walitutawala.
it's simple, ukiona unamtawala mtu mwingine basi jua kuna vingi vizuri umemzidi.
 
Mshana Jr umenichanganya kidogo.

Mwanzo ulisema ukiwa na pesa, unazidi kuwa na roho mbaya. Ila mwishoni ukasema ili kupata pesa lazima utumie njia haramu.

Sasa ninataka uniambie, kati ya roho mbaya na utajiri ni kipi kinaanza?

Mtu anakuwa na roho mbaya ndiyo anafanikiwa, au mtu anafanikiwa ndiyo anakuwa na roho ngumu na mbaya?

Kumbuka pia mitaani Kuna msemo kwamba "matajiri wana roho mbaya" uchoyo, n.k.

Ili mtu apate Mali, anahitaji kuwa na I roho mbaya, au ili mtu awe na roho mbaya anahitaji pesa?
Lilla na fila ni chanda na pete...

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom