Unachochea uhalifu mkuu. Hii kauli sio sahihi kuwekwa mbele ya umma. Kwa hiyo unahamasisha watu wafanye ujambazi?



Nyoosha maelezo mkuu.Pesa hizo sizitaki, Napambana na nitapambana mpk usawa wa mwisho kwa njia halali.
Nao hutumia kafara ili kulinda dhuluma waliyodhulumuHongera kwa Uzi wako mzuri Mkuu ila binafsi kwa hapa Kwetu Tanzania ninajua Matajiri wengi ni wale Watu Wadhulumati na Washirikina watupu.
Upo lakini ni wa kutunukiwa na kama ni wa hawa wapigaji bado lazima kafara zihusike...kwakuwa kafara (damu) ndio engine ya utajiriIla utajiri wa majini upo mkuu, ninaushuhuda wa hiki nisemacho.