Unahitaji utajiri wa fasta? Pitia hapa

Unahitaji utajiri wa fasta? Pitia hapa

Ama kweli! Mlala hoi mmoja alihangaika kupata mtoto hatimae akapata mtoto wa kiume. Ila baada ya miaka mitatu kama utani mtoto alipaliwa na ubwabwa na kufariki. Mlala hoi sasa ni tajiri! Kuna nini?
 
Nipe mkuu

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Nakupatia mtakatifu huyu muombe huku ukiwa umewasha mshumaa mwekundu huku umeweka keki tamu sana na glasi ya maji pembeni,MT.expedict nisaidie niweze kupata pesa haraka haraka kwa namna yoyote ile iwayo bila ya kudhuru yeyote wala ndg yangu yeyote kwa utukufu wako nataka msaada huu haraka with no harm no body am weak nonsense flesh in need very quickly fast fast rudia huku ukiuangalia mshumaa na ukifanya imaginary of money decending for three day usisahau neno do not harm any body huyu ni mtakatifu lakini ukikosea kipande hicho JAMAA NI MBABE FULANI HUYU
#######
1608303706253.png
 
Habarini ndugu zangu wa JamiiForums,

Mada hii ni maalum kwa wale wanaotaka utajiri wa haraka bila kujali madhara yake

Kabla sijaendelea na muktadha wa mada lazima niwaambie na mlitambue hili kwa hakika Dunia hii ndugu zangu ni katili tena ni katili hasa na viumbe wake ni watu wabaya na wenye rohombaya hasa.

Usisadiki kamwe wala kuaminishwa na stori za vijiweni za mafanikio ya wengine kupitia uchawi, ushirikina au ulozi.

Kumbuka hili kwenye kila fanikio la mtu nyuma yake kuna sehemu ya siri ambayo kamwe hatakuwa tayari ku share nawe hata umpe nini kumbuka sana hili na lizingatie

Sasa basi hiki kitu kinachoitwa utajiri ninini? Utajiri ni kuwa na makaratasi mengi sana yanayoitwa pesa. Ukiwa na haya makaratasi maalum mengi mengi sana ndio unaweza kuwa na uwezo wa kufanya chochote utakacho kwa matamanio ya kawaida ya kibinadamu.

Tunatofautiana kiwango cha wingi wa umiliki wa haya makaratasi maalum yaitwayo fedha au pesa au shekeli na kwa kadiri unavyoyamiliki kwa wingi ndio uchoyo ubinafsi ubahili na rohombaya unavyokutamaki ni jambo la kiasili mno.

Pesa haina rafiki..pesa haina utu..bali pesa hujisimamia yenyewe...ndio maana unaambiwa ya kwamba PESA HUENDA KWENYE PESA..
Pesa ina mikondo yake
Pesa ina mifereji yake
Pesa ina formula zake
Pesa huambukiza pesa, kwa hiyo ukihitaji pesa ni lazima uwe na pesa na hili sio utani wala sio maskhara!

Tafuta kwanza kianzio ndio upate kiendelezo chake kwa njia hizohizo!

Usitegemee wala usijidanganye kama kuna njia za mkato kwenye utajiri. Huo utajiri ili kuupata unahitaji pesa pia, pesa nyingi, pesa za kuharibu na kuangamiza ili upate maradufu yake!

Utajiri unaoitwa wa mkato ama haraka unahitaji makafara makubwa, hakuna kitu kinakula pesa kama haya makafara, lakini ni lazima umpate mtakatifu mwenye dhambi la sivyo utaishia kupigwa.

Hakuna cha bure duniani na kila mtu ni mhitaji. Usidanganywe na waganga wa mitandaoni na wale wanaotoa pesa za majini. Majini hayaendeshwi na kiumbe dhaifu aitwaye binadamu.

Katika hali hiyo uliyo nayo na changamoto ulizonazo kwenda kwa mganga akupe dawa ya utajiri ni kujitia dhambi bure na kumfaidisha mganga.

Utajiri wa pesa ni mali ya mkuu wa anga na ili uupate ni lazima utoe sadaka kubwa. HAKUNA CHA BURE DUNIANI. Kishapo uingie mikataba yenye masharti magumu na mazito.

Matajiri wetu kila mmoja ana siri yake binafsi na wana siri za jumla kulingana na kiwango cha ukwasi wao.

Kama bado hata hela ya kujihudumia inakupiga chenga usijihangaishe kutafuta utajiri huu wa shortcut. Utaishia maumivu ya kutapeliwa.
Hii ni qnet na mr. Kuku iliyofunikwa kwa blanket la kiimani...
😀😀😀
 
Mshana Jr umenichanganya kidogo.

Mwanzo ulisema ukiwa na pesa, unazidi kuwa na roho mbaya. Ila mwishoni ukasema ili kupata pesa lazima utumie njia haramu.

Sasa ninataka uniambie, kati ya roho mbaya na utajiri ni kipi kinaanza?

Mtu anakuwa na roho mbaya ndiyo anafanikiwa, au mtu anafanikiwa ndiyo anakuwa na roho ngumu na mbaya?

Kumbuka pia mitaani Kuna msemo kwamba "matajiri wana roho mbaya" uchoyo, n.k.

Ili mtu apate Mali, anahitaji kuwa na I roho mbaya, au ili mtu awe na roho mbaya anahitaji pesa?
 
Pesa haina rafiki..pesa haina utu..bali pesa hujisimamia yenyewe...ndio maana unaambiwa ya kwamba PESA HUENDA KWENYE PESA..
Pesa ina mikondo yake
Pesa ina mifereji yake
Pesa ina formula zake
Pesa huambukiza pesa, kwa hiyo ukihitaji pesa ni lazima uwe na pesa na hili sio utani wala sio maskhara!
Hapa ndipo wengi tunapofeli na inakatisha tamaa
 
Nakupatia mtakatifu huyu muombe huku ukiwa umewasha mshumaa mwekundu huku umeweka keki tamu sana na glasi ya maji pembeni,MT.expedict nisaidie niweze kupata pesa haraka haraka kwa namna yoyote ile iwayo bila ya kudhuru yeyote wala ndg yangu yeyote kwa utukufu wako nataka msaada huu haraka with no harm no body am weak nonsense flesh in need very quickly fast fast rudia huku ukiuangalia mshumaa na ukifanya imaginary of money decending for three day usisahau neno do not harm any body huyu ni mtakatifu lakini ukikosea kipande hicho JAMAA NI MBABE FULANI HUYU
#######
View attachment 1653432
Nikimaliza hiyo keki niiikule?
 
It's totally beyond the pale

Rudi reverse kwenye history.

Reasons for widening gap between Africa and Europe.

Kuna looting, slave trade, piracy, colonization nk yaani manjia haramu tu ndizo zilifanya wazungu wakatupiga gap.

Kuna crusades hizi ni vita vya kidini.

Ukitaka maendeleo lazima ujiongeze kwelikweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom