Unahitaji utajiri wa fasta? Pitia hapa

Unahitaji utajiri wa fasta? Pitia hapa

Nilijua umetaja makafara ya kufanya watu tudamke nayo njaanuary hii 😄
 
Niliwahi sikia utajiri wa punje na utajiri wa funza.
Mshana Jr waeleze vijana au unawabania uwe tajiri peke yako.

Vipi yule dogo wa kwa mzee Mandela aliyekufa wakasema alifuga joka linalotema pesa, eleza kidogo hapo.
 
Niliwahi sikia utajiri wa punje na utajiri wa funza.
Mshana Jr waeleze vijana au unawabania uwe tajiri peke yako.

Vipi yule dogo wa kwa mzee Mandela aliyekufa wakasema alifuga joka linalotema pesa, eleza kidogo hapo.
Majoka yanayotema pesa ni story tu na sometimes viini macho
 
Mkuu mimi ninachojua ili uwe tajiri, lazima uwe na roho mbaya. Asilimia kubwa ya matajiri ni wana roho mbaya, wanadhulumu watu mishahara/pesa wakati wao wanaingiza mabilioni, wengi ni wezi(wa kalamu), wafitinishaji, watafanya lolote ili wabaki juu nk.

Roho nzuri na utajiri hata haviendani.
Roho nzuri na utajiri vinaendana tu.
 
Mithali . 8:18
Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia.
Utajiri nje ya Mungu Yehova ni wa muda kitambo tu, wenye mateso na majuto makali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom