Unahitaji Spare part gani tukuagizie kwa bei nafuu?

1697123754348.jpg


Audi Q7
 
Ukiachana na kukupa huduma za Engine Services, Diagnostics na Repairs za matatizo mbalimbali ya magari hasa yanayowasha warning lights.

Tunayo pia huduma ya kukuagizia spare parts kwa bei ambayo ni nafuu sana.

Ni nafuu sana hasa ukilinganisha na bei ya spareparts ambayo utaambiwa ukiingia dukani hapa mjini.

Ninayo access ya spareparts mpya pamoja na za mtumba. Zipo spareparts nyingi sana hasa za gari za Ulaya mathalani BMW, VW na Audi.

Hata za magari mengine zipo lakini siyo kwa kiasi kikubwa kama hizo nilizotaja hapo.

Spare parts zipo za aina nyingi kuanzia Spark plugs, Ignition coils, Catalytic converters original za gari husika, Brake pads, Disk rotors, Batteries Original, Top covers, Sensors, Alternators, Stater motors, Headlights, Brake boosters, Master cylinders, Intake manfolds, Air filters, Oil filters, ECUs, n.k. siwezi kumaliza kumention.....

Mfano

Cat conveters BMW N55
View attachment 2619229
Disk rotor za subaru
View attachment 2619239
Headlights za E90 bmw
View attachment 2619247
Control box (ECU) ya N46 BMW
View attachment 2619249

View attachment 2619251
Ignition coils original za BMW N46 huu ni mtumba ila ni Original za Bosch.
View attachment 2619252

Picha zaidi zinakuja.

Kwa spare parts nyepesi utapata ndani ya siku 10 mpaka 14 na mara chache kukiwa na delay basi ni mpaka siku 21.

Kwa spare parts nzito za magari, zitachukua muda mara nyingi mwezi na nusu au miwili kabisa.

Ofisi yetu iko Dar es salaam, Sinza, Kijiweni.

0621 221 606.
Naweza kupata dashboard ya toyota spacio old model ile ya digital, Kama hiyo hapo kwenye picha?
1698671567799.png
 
Ahsante,
Hivi kuagiza hiyo used inaweza kuwa shilingi ngapi maana nilimtuma fundi wangu anitafutie, kazunguka ilala, tandale mpaka temeke huko, kila aliyopata ilikuwa haionyeshi vizuri. Kaambiwa upatikanaji wa hizo ni mgumu mpaka wavizie magari yanayochinjwa.
Fundi aliwahi kuifungua nikapiga picha sehemu ya nyuma yenye namba ya part kama nilivyoambatanisha hapo chini

1698828936100.png
 
Ahsante,
Hivi kuagiza hiyo used inaweza kuwa shilingi ngapi maana nilimtuma fundi wangu anitafutie, kazunguka ilala, tandale mpaka temeke huko, kila aliyopata ilikuwa haionyeshi vizuri. Kaambiwa upatikanaji wa hizo ni mgumu mpaka wavizie magari yanayochinjwa.
Fundi aliwahi kuifungua nikapiga picha sehemu ya nyuma yenye namba ya part kama nilivyoambatanisha hapo chini

View attachment 2799999
pia nimepata picha nzima mtandaoni
1698830897364.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom