wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,226
- 37,574
Sawa mkuu nicheki tu pm yangu iko wazi
Nimeshakucheki mkuu.
Sawa mkuu nicheki tu pm yangu iko wazi
Kaka swali hili hujaliona?Nahitaji extension bar ya liteace truck 4 wheel na mofla kama unazo bei zake zipoje
Samahani mkuu hii sina boss wanguKaka swali hili hujaliona?
unaonaje ukampigia kuliko kuendelea kusubiriaNahitaji Engine ya 1ZZ na Gearbox yake,
Bei gani?
Bila shaka tuliwasiliana bossMkuu naulizia Head lamp ya Subaru Impreza Sports ya 2012, model DBA - GP7, ni kiasi gani ?
Hii engine milioni 2.4 na gear box laki 5Nahitaji Engine ya 1ZZ na Gearbox yake,
Bei gani?
Imekuja na engine ganiMkuu gearbox ya nissan tiida bei gani??
Laki moja kiooHabari
Unauzaje kioo cha nyuma cha carina ti?
Ahsante
Hivi viti sina bossNahitaji kiti cha Dereva cha Mercedes Benz - C class yangi siyo kikwazo ingawa Perl ndiyo rangi yake
Hivi viti sina boss
0658124554Master Naomba namba yako Nina issue
Laki moja kioo