EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
GharamaBro habari.
Hivi mbona vifaa vya magari vinakuaga bei kubwa sana? Kakitu kadogo tu bei kubwa. Sababu hasa huwa nini.
Kweli hakuna mfanyabiashara akaja na strategy ya kuviagiza na kuuza bei cheap akapiga hela mpaka akazikimbia?
1.kununua
2kusafirisha
3ushuru
4kodi
5VAT
6frem
7Faida