F = Fortitude. Ajue kuvumilia magumu, yaani mipando & miteremko ya maisha
G = Genius. Awe intelligent, elegant, smart, brain-brave, free brain (not brain-free)
I = Inspirational. Awe mbunifu kama Michelle Obama & Salma KikweteF = Fortitude. Ajue kuvumilia magumu, yaani mipando & miteremko ya maisha
G = Genius. Awe intelligent, elegant, smart, brain-brave, free brain (not brain-free)
Ni kweli lakini haiwezekani kumpata kabisa yule mwenye vigezo vyote unavyovitaka labda uumbe mwenyewe. Ukitaka kulijua hilo angalia hata Viongozi wetu wakubwa utakuta ana mke mzuri lakini bado akiwa jukwaani anawasifia wanawake wengine kuwa ni wazuri na angeweza kuwaoa, sasa unajiuliza alishindwa nini kuwaoa hao anawasifia???. Inawezekana bado hujaingia kwenye ndoa ndio maana unasema hivyo, lakini siku ukiingia kwenye ndoa utanielewa tu.Definition yangu ya perfection ni kutafuta perfect person. Zile sifa zile
1. Age=Awe na umri Fulani hivi (akuzi ama umzidi)
2. Beauty = Awe na urembo flani hivi wa mwili
3. Colour of skin= Asiwe Cheusi mangala wala Cheupe Sana kupitiliza
4. Divine= Awe mcha Mungu hasa hasa awe Dini yangu
5. Education= Awe na Masomo kiwango Fulani, bila hii hatuwezani
6. F.
7. G
8. Height= Awe mrefu hivi elegant elegant
9. I
.
.
.
26. Z
Sasa perfect person atapambana kumpata mwenye hizi sifa A-Z, ikipungua sifa hata Moja, biashara ya ndoa haipo.
Imperfect person atataka apate mwenza walau anayefikia 50% ya hizi sifa. Na hii very common.
Ndiposa nikasema ndoa ni kwa ajili ya imperfect person. Natumai umenimanya vema.
We mpuuzi unataka mrefu muumbe wakwako kima we.Unaona sasa!
Sifa ndio hizi hizi.
Ila kuzipata ZOTE kwa mtu mmoja ni mtihani Sana.
Inategemea na mindset ya mtazamaji. Michelangelo (mchongaji msanifu mashuhuri Italy) alisema, Ukiona kipande cha gogo kama kilivyo hutadhani kinaweza kutokea kinyago kitakachouvutia & kuushangaza ulimwengu. Lazima uwe na jicho penyevu linalotazama beyond surface appearance & superficiality --- hadi kumtima.Unaona sasa!
Sifa ndio hizi hizi.
Ila kuzipata ZOTE kwa mtu mmoja ni mtihani Sana.
Miaka 19 ya ndoa hapa. Chuo kimoja na mpango wa kuhama ama kuacha chuo haupo muhenga Mie! LohNi kweli lkn haiwezekani kumpata kabisa yule mwenye vigezo vyote unavyovitaka labda uumbe mwenyewe.Ukitaka kulijua hilo angalia hata Viongozi wetu wakubwa utakuta ana mke mzuri lkn bado akiwa jukwaani anawasifia wanawake wengine kuwa ni wazuri na angeweza kuwaoa,sasa unajiiliza alishindwa nini kuwaoa hao anawasifia???. Inawezekana bado hujaingia kwenye ndoa ndio maana unasema hivyo,lkn siku ukiingia kwenye ndoa utanielewa tu.
Tuliza mzuka! Urefu unaweza kuwa sm 10 au mita 1000!!! Kwani kasema urefu gani!!???We mpuuzi unataka mrefu muumbe wakwako kima we.
ha ha haaWe mpuuzi unataka mrefu muumbe wakwako kima we.
Kumsifia mwingine siyo ishara ya kutomkubali mkewe. Inaweza kuwa kajifunza kumsifia wake hadi anaona reflection za sifa za mkewe kwa wengine na anashindwa uvumilivu. Wasingekuwa wanasifia ndipo ningekuwa na mashaka na ndoa zao.Ni kweli lkn haiwezekani kumpata kabisa yule mwenye vigezo vyote unavyovitaka labda uumbe mwenyewe.Ukitaka kulijua hilo angalia hata Viongozi wetu wakubwa utakuta ana mke mzuri lkn bado akiwa jukwaani anawasifia wanawake wengine kuwa ni wazuri na angeweza kuwaoa,sasa unajiiliza alishindwa nini kuwaoa hao anawasifia???. Inawezekana bado hujaingia kwenye ndoa ndio maana unasema hivyo,lkn siku ukiingia kwenye ndoa utanielewa tu.
ha ha haa
Ikiwa Dar, tembea kwa miguu toka Ocean Road Hospital, pita IFM na wizara ya afya. Ukifika Imalaseko Supermarket nijulishe umeona warefu wangapi?
Acha uvivu Legendary
And the truth of the matter ni kwamba hata "Nancy Shumari" ana "ufupi" wake fulanifulani!Kubagua watu kwa misingi ya maumbile ni makosa unless unaweza kumuumba binadamu wako mwenyewe. Mimi ni mrefu ila kamwe I won't despise short people.
Roho wa bwana kakuonesha au sio!CreditAnalyst Nakuja Dodoma Kama tulivo ongea ...Kuna kitu nakiona ndani kwako kwa jicho la tatu
Sent using Jamii Forums mobile app
And the truth of the matter ni kwamba hata "Nancy Shumari" ana "ufupi" wake fulanifulani!
Kubagua watu kwa misingi ya maumbile ni makosa unless unaweza kumuumba binadamu wako mwenyewe. Mimi ni mrefu ila kamwe I won't despise short people.
Huo ubagazanaji ni almost unbearably inexcusableMbowe alimuita mtu Fulani Ni short man mbona alijuta.
So tunahitaji mabadiliko makubwa sana kiwango cha mifugale ya Ubungo InterchangeBinadamu asili yao ni ubaguzi, uchoyo, ubinafsi, kutokusamehe, chuki etc etc etc. Bila shaka unaona Dini zote zina-promote ushirikiano, upendo, msamaha etc.
Halafu imperfect mimi sio mbaguzi kihivyo.
😅So tunahitaji mabadiliko kiwango cha mifugale ya Ubungo Interchange