Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,913
- 10,719
Sex, family then respectKwema kabisa ...yaani kabisa
Sex, family then respectKwema kabisa ...yaani kabisa
NdioWewe tayari?
Kifungu au paragraph ya pili kwa mtazamo wangu ndio ya msingi.Je mwanamke anapo olewa..Anachofuata Ni Mali za mwanaume Yaaani Magari, magorofa na mfanowe?
Je anafuata urafiki, uhusiano, Mapenzi ya dhati, kufanya Mapenzi, Utulivu wa nafsi au Heshima?
Je ukipewa Hizo pesa na magari na majumba..ukawa tajiri alafu mwanaume akawa anaonekana kwa nadra Sana utakuwa na furaha?
Je furaha ya kweli katika Mapenzi / ndoa Ni pesa?
Kuna usemi nausikiaga... When poverty enters the door love flies out of the window.
Tell me guys...what makes a happy marriage... Is it money or is it the man?
I like to think I need a man first, his presence is Vital then other factors can be considered.
What do you guys think?
N.B Hiyo English Tia maji Tia maji nilifundishwa na mwalimu wangu Ticha** Shamim... Mlosoma kayumba msianze maneno yenu.
Mmhhh!!!!, Nadhani asiyeoa /kuwa na ndoa ndio imperfect kwasababu Kadiri ya Mpango Mungu alituumba tuishi mume na mke, Sasa tofauti na hapo una mapungufu unless una special devotion.Ndoa ni package!
Kuna Platinum, Gold, Silver, Wood, Feather etc kila Moja na uzito wake.
Nionavyo Mimi, ndoa ni kwa watu wasiokamilika (imperfect people). Ikiwa mtu anajihisi ni perfect person, aachane na ndoa aendelee na biashara zingine. Itamfaa!
Point. Lack of purpose, hasa COMMON purpose, inavuruga sana ndoa nyingi.Haya ni maswali ya muhimu ambayo pande zote mbili wanatakiwa wajiulize
Wana ndoa wengi hawana majibu ya msingi "kwanini wameoana?" hii yote kwasababu ya kufata trend tu kwamba umri fulani ukifika unakua ni halali kuoa/kuolewa
Ukitafakari kwa nini marafiki wanadumu pamoja, utajua kinachoweza kufanya ndoa idumu, meanwhile wanandoa wakipendana, wakithaminiana na kusaidia na kusonga mbele pamoja.Nafikiri kunachofanya wanandoa waendelee kukaa na kuishi pamoja ni matunda ya ndoa ikiwamo Watoto na mambo mengine ambayo hawakua nayo wakati wakiwa katika level ya kuchumbiana,Ndio maana wale ambao hawajafanikiwa watoto nk ni rahisi wao kuachana na kila mtu kufuata shughul nyingine, Lakini wale walioziendeleza ndoazao inakua ngumu kwa sababu tayari wanakua namambo waliyosababisha ikiwamo watoto ambao wanawategemea kwa kila kitu hivyo wanajikuta wanaishi pamoja ili kuwalelea watoto lakini si kupata mapenzi wala pesa na magari.
Definition yangu ya perfection ni kutafuta perfect person. Zile sifa zileMmhhh!!!!, Nadhani asiyeoa /kuwa na ndoa ndio imperfect kwasababu Kadiri ya Mpango Mungu alituumba tuishi mume na mke, Sasa tofauti na hapo una mapungufu unless una special devotion.
F = Fortitude. Ajue kuvumilia magumu, yaani mipando & miteremko ya maishaDefinition yangu ya perfection ni kutafuta perfect person. Zile sifa zile
1. Age=Awe na umri Fulani hivi (akuzi ama umzidi)
2. Beauty = Awe na urembo flani hivi wa mwili
3. Colour of skin= Asiwe Cheusi mangala wala Cheupe Sana kupitiliza
4. Divine= Awe mcha Mungu hasa hasa awe Dini yangu
5. Education= Awe na Masomo kiwango Fulani, bila hii hatuwezani
6. F.
7. G
8. Height= Awe mrefu hivi elegant elegant
9. I
.
.
.
26. Z
Sasa perfect person atapambana kumpata mwenye hizi sifa A-Z, ikipungua sifa hata Moja, biashara ya ndoa haipo.
Imperfect person atataka apate mwenza walau anayefikia 50% ya hizi sifa. Na hii very common.
Ndiposa nikasema ndoa ni kwa ajili ya imperfect person. Natumai umenimanya vema.