Unafuata nini kwa mwanaume unapoolewa?

Unafuata nini kwa mwanaume unapoolewa?

Je mwanamke anapo olewa..Anachofuata Ni Mali za mwanaume Yaaani Magari, magorofa na mfanowe?

Je anafuata urafiki, uhusiano, Mapenzi ya dhati, kufanya Mapenzi, Utulivu wa nafsi au Heshima?

Je ukipewa Hizo pesa na magari na majumba..ukawa tajiri alafu mwanaume akawa anaonekana kwa nadra Sana utakuwa na furaha?

Je furaha ya kweli katika Mapenzi / ndoa Ni pesa?
Kuna usemi nausikiaga... When poverty enters the door love flies out of the window.

Tell me guys...what makes a happy marriage... Is it money or is it the man?

I like to think I need a man first, his presence is Vital then other factors can be considered.

What do you guys think?

N.B Hiyo English Tia maji Tia maji nilifundishwa na mwalimu wangu Ticha** Shamim... Mlosoma kayumba msianze maneno yenu.
Kifungu au paragraph ya pili kwa mtazamo wangu ndio ya msingi.
 
Binafsi cha kwanza ni watoto ambao watalelewa wakiona baba na mama

Cha pili ni kamari yaani bima in case umepatwa na maradhi yatakayokufanya uishie kitandani, hii ni kamari kwa pande zote
 
Ndoa ni package!
Kuna Platinum, Gold, Silver, Wood, Feather etc kila Moja na uzito wake.

Nionavyo Mimi, ndoa ni kwa watu wasiokamilika (imperfect people). Ikiwa mtu anajihisi ni perfect person, aachane na ndoa aendelee na biashara zingine. Itamfaa!
Mmhhh!!!!, Nadhani asiyeoa /kuwa na ndoa ndio imperfect kwasababu Kadiri ya Mpango Mungu alituumba tuishi mume na mke, Sasa tofauti na hapo una mapungufu unless una special devotion.
 
Nafikiri kunachofanya wanandoa waendelee kukaa na kuishi pamoja ni matunda ya ndoa ikiwamo Watoto na mambo mengine ambayo hawakua nayo wakati wakiwa katika level ya kuchumbiana,Ndio maana wale ambao hawajafanikiwa watoto nk ni rahisi wao kuachana na kila mtu kufuata shughul nyingine, Lakini wale walioziendeleza ndoazao inakua ngumu kwa sababu tayari wanakua namambo waliyosababisha ikiwamo watoto ambao wanawategemea kwa kila kitu hivyo wanajikuta wanaishi pamoja ili kuwalelea watoto lakini si kupata mapenzi wala pesa na magari.
 
Nafikiri kunachofanya wanandoa waendelee kukaa na kuishi pamoja ni matunda ya ndoa ikiwamo Watoto na mambo mengine ambayo hawakua nayo wakati wakiwa katika level ya kuchumbiana,Ndio maana wale ambao hawajafanikiwa watoto nk ni rahisi wao kuachana na kila mtu kufuata shughul nyingine, Lakini wale walioziendeleza ndoazao inakua ngumu kwa sababu tayari wanakua namambo waliyosababisha ikiwamo watoto ambao wanawategemea kwa kila kitu hivyo wanajikuta wanaishi pamoja ili kuwalelea watoto lakini si kupata mapenzi wala pesa na magari.
Ukitafakari kwa nini marafiki wanadumu pamoja, utajua kinachoweza kufanya ndoa idumu, meanwhile wanandoa wakipendana, wakithaminiana na kusaidia na kusonga mbele pamoja.
 
Mmhhh!!!!, Nadhani asiyeoa /kuwa na ndoa ndio imperfect kwasababu Kadiri ya Mpango Mungu alituumba tuishi mume na mke, Sasa tofauti na hapo una mapungufu unless una special devotion.
Definition yangu ya perfection ni kutafuta perfect person. Zile sifa zile
1. Age=Awe na umri Fulani hivi (akuzi ama umzidi)
2. Beauty = Awe na urembo flani hivi wa mwili
3. Colour of skin= Asiwe Cheusi mangala wala Cheupe Sana kupitiliza
4. Divine= Awe mcha Mungu hasa hasa awe Dini yangu
5. Education= Awe na Masomo kiwango Fulani, bila hii hatuwezani
6. F.
7. G
8. Height= Awe mrefu hivi elegant elegant
9. I
.
.
.
26. Z
Sasa perfect person atapambana kumpata mwenye hizi sifa A-Z, ikipungua sifa hata Moja, biashara ya ndoa haipo.

Imperfect person atataka apate mwenza walau anayefikia 50% ya hizi sifa. Na hii very common.

Ndiposa nikasema ndoa ni kwa ajili ya imperfect person. Natumai umenimanya vema.
 
Definition yangu ya perfection ni kutafuta perfect person. Zile sifa zile
1. Age=Awe na umri Fulani hivi (akuzi ama umzidi)
2. Beauty = Awe na urembo flani hivi wa mwili
3. Colour of skin= Asiwe Cheusi mangala wala Cheupe Sana kupitiliza
4. Divine= Awe mcha Mungu hasa hasa awe Dini yangu
5. Education= Awe na Masomo kiwango Fulani, bila hii hatuwezani
6. F.
7. G
8. Height= Awe mrefu hivi elegant elegant
9. I
.
.
.
26. Z
Sasa perfect person atapambana kumpata mwenye hizi sifa A-Z, ikipungua sifa hata Moja, biashara ya ndoa haipo.

Imperfect person atataka apate mwenza walau anayefikia 50% ya hizi sifa. Na hii very common.

Ndiposa nikasema ndoa ni kwa ajili ya imperfect person. Natumai umenimanya vema.
F = Fortitude. Ajue kuvumilia magumu, yaani mipando & miteremko ya maisha

G = Genius. Awe intelligent, elegant, smart, brain-brave, free brain (not brain-free)
 
Back
Top Bottom