Unafki wa Watanzania kwenye Dini

Unafki wa Watanzania kwenye Dini

Kama hayo mavazi wanayanunua kwa fedha walizo zitatafuta kwa jasho lao ww kinacho kuuma ni nini?
Hivi watz mtaachaga lini upumbavu?
Again I criticized cjasema sheria itungwe kukataza. Km mzee wangu hapendi dreadlocks au kunyoa kiduku but hataki ipigwe marufuku
 
Mbona izo mie mie zimekua nyng,we jinsia na mtu wa wapi,watu wa kwenu wanakutafuta

Km hujui hayo mavaz hayana uhusiano na uislamu,ko acha kufatilia maisha ya watu
 
Ile kamati ya kutafuta vazi la taifa inahangaika nini wakati taswira ya jana inaoonekana kabisa yale yakawa ndiyo mavazi ya kitaifa? Dini hiyo isihodhi hayo mavazi yavaliwe na kila mtu hata asiye muislam maana yanapendeza sana. Mbowe alipendeza sana mpaka rais akamtamkia kuwa amependeza akiwa kwenye mavazi hayo
 
Again I criticized cjasema sheria itungwe kukataza. Km mzee wangu hapendi dreadlocks au kunyoa kiduku but hataki ipigwe marufuku
Acha kufuatia maisha ya watu kila mtu ana uhuru wa kuishi atavyo ili mradi havunji Sheria.
 
mbona kuna jamaa yenu mmoja anamkoromea mwijaku aache kucheza muziki huku kavaa kiislam akidai ni mavazi matakatifu ya dini yenu?
Kuna tukio moja lilitokeaga maeneo fulani.... Kuna jamaa wikiendi kajipumzikia zake bar.... Kakaa tu kwenye kiti anajinywea maji yake huku katulia na kanzu yake... Mwarabu wa undengerekoni akapita yale maeneo akamuona... Akamrukia yule jamaa aliye kaa bar anajinywea zake vimaji vyake kama nyani!!! Akamchania kanzu yake yote... Anaulizwa kwanini unamfanyia mwenzako hivyo? Jibu lake eti Sababu vazi takatifu.... SAsa nikajiuliza yeye mbona kavaa kanzu afu kaingia bar? Au hajui kama kamchania mwenzake nguo bar.....? Nili sikitika sana.....
 
Mimi naona tatizo ni kukalili tu. Kanzu ni vazi linalovaliwa na waislamu wengi lkn si utambulisho wa uislamu.
mbona wanakuwa wakali hata kwa waumini wao wakikuta anacheza sebene na kanzu? Na kwa nini kanzu ziuzwe na waislam maeneo ya misikiti tu?
 
kwani mtu yeye kama yeye na mwijaku pia si muislamu?

Mavazi yanapewa kipaumbele na watu ndo maana hata sehemu ya kazi kuna mavazi husika ...Vaa utakavyo ila usimisbahave..

Akili zenu mtu akivaa kanzu tu akifanya ujinga basi mnakuja kupost na kusema oneni uislamu ulivyo ndo maana watu wanakataza.
huko kukataza ndio mnaonekana mnahodhi mavazi hayo
 
huko kukataza ndio mnaonekana mnahodhi mavazi hayo
Hii wanakata ili msipate la kusema wapo wakristo wanavaa kanzu kama kawaida na hata waislamu wanaweza kuvaa kama wakristo.

Tatizo ni mazingira mtu akivaa kanzu basi mnasema muislamu
 
Hii wanakata ili msipate la kusema wapo wakristo wanavaa kanzu kama kawaida na hata waislamu wanaweza kuvaa kama wakristo.

Tatizo ni mazingira mtu akivaa kanzu basi mnasema muislamu
siku hizi hata harusi za kiislam zinafanyika kama za kikristo ki mavazi. Wakishamaliza kufungiwa ndoa na sheikh wanaenda kuvaa mashela na masuti kuelekea ukumbini kulishana keki na shamrashamra zingine. Cha ajabu ukumbi mzima huoni ishara wala maneno ya kiislam, ndugu, jamaa, marafiki na waalikwa wengine wamevaa mavazi ya kimagharibi, huoni mavazi ya kiislam ukumbini na wakati harusi ni ya kiislam. miziki inayopigwa nayo ni ya kidunia tu au kidogo ya kikristo ile inayochangamsha waalikwa. Hii inaweza kuwa ni morden islamic dressing code katika harusi zao zenye mbwembwe nyingi
 
siku hizi hata harusi za kiislam zinafanyika kama za kikristo ki mavazi. Wakishamaliza kufungiwa ndoa na sheikh wanaenda kuvaa mashela na masuti kuelekea ukumbini kulishana keki na shamrashamra zingine. Cha ajabu ukumbi mzima huoni ishara wala maneno ya kiislam, ndugu, jamaa, marafiki na waalikwa wengine wamevaa mavazi ya kimagharibi, huoni mavazi ya kiislam ukumbini na wakati harusi ni ya kiislam. miziki inayopigwa nayo ni ya kidunia tu au kidogo ya kikristo ile inayochangamsha waalikwa. Hii inaweza kuwa ni morden islamic dressing code katika harusi zao zenye mbwembwe nyingi
😂😂😂Hakuna harusi ya kiislamu wala kikristo ila zipo ndoa ambazo hufungwa kanisani au msikitini kwa jamii zetu.

Huko ukumbini hakuhusiani na dini yeyote ile maana ni mambo ya kudunia tofautisha ndoa na harusi kwa vile huwezi kupiga mziki msikitini au kanisani ndo maana wanaenda sehemu maalumu hata wakiamua kulewa ni wao.
 
Rais mwenyewe kasema alikuwa anavaa jeans na T shirt mpaka alivyoingia kwenye siasa akaanza kuvaa hijab.

Ni aina fulani ya virtue signaling watu wakuone una maadili mema.
Tutake radhi samia hajawahi kuvaa hijabu hata siku 1 tangu nimfahamu,labda hijabu uijui
 
Tutake radhi samia hajawahi kuvaa hijabu hata siku 1 tangu nimfahamu,labda hijabu uijui

Huo ushungi anaouvaa, ni virtue signaling ya kisiasa kasema mwenyewe.

Ni aina fulani ya kusema "look at me, I am so holy".

Wakati kila siku unafanya ushenzi.
 
Back
Top Bottom