IDFakenyingine
Senior Member
- Sep 28, 2022
- 178
- 445
Usikereke wala kuteseka kwa mambo ya watu yasiyokuhusu!jifunze kusoma bila kukurupuka? Wapi nimesema itungwe sheria kuzuia nani avae nani? Tena ndo hao wenye dini wenye itikadi izo. Mie nimepoint unafki tu Km nikisema kuvuta sigara inanikera cjasema zuia.
Ishi maisha yako utapata amani ya moyo!