Ricky Blair
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 391
- 873
Ivi kwanini mtu Km huvai kitu fulani ghafla kujifanya unavaa??? Naona wasanii wengi Wakristo kwa waislamu kujifanya wanavaa Abaya au hijab au kanzu kwenye kipindi cha Ramadhani when walikuwa hawavai hata Km waislamu? Why? Hata izo sala si mliambiwa kila siku why kw ramadhani tu hata Km Muslims consider it holy month ok; tuachane na Muslims na hao Christians kuvaa kanzu Km akina Mbowe cjui Jokate kuvaa abaya cjui nan? Why unafki Km it's not your style au your religious observance why the hypocrisy? Vaa what u like all days kwa heshima tu and meet anyone. Ukienda kukutana na Mufti cjui Pope co lazima uvae Km wao. Mi Km mtu havai Km mie all days then siku anakutana na mie anajifanya kavaa Km mie namuumbua hapo hapo. Km jeans it's your thing keep wearing it, Km suits keep wearing it, Km bazee keep doing Km abaya na hijab fine ila usijifanye kuvaa ki unafki. Sipendi sana Km mtu ajifanye anaongea kichina au Spanish when hajui. Ovyo sana. Let's stop.