Adrian Stepp
R I P
- Jul 1, 2011
- 2,764
- 2,600
Mwanamke mmoja mkazi huko moshi ambae alisadikika kumuua mumewe mwenye kipato (kama kawaida yao) basi baada ya mumewe kufariki ndugu na jamaa na marafiki walikusanyika kwa ajili ya kumuaga mpendwa wao.
kama kawaida maiti ilipotoka hospital kwa ajili ya kufika kwa mazishi huingizwa ndani sitting room na mke na watoto wakawa tayari kwa ajili ya kutoa heshima za mwisho.
Jeneza likafunguliwa wakati bibie anaenda kuaga akawa analijiliza kupita kiasi kila wakimsihi wapiiii!! "mume wangu weee bora ungenisubiri tufe wotee" ntalea na nani hawa watoto..nk.. sasa bwana ile anafika tu pale kwenye maiti mara panya na nyoka wakawa wana fukuzana darini ghafla ile mama anafika tuu kwenye jeneza nyoka akaangukia ndani ya maiti!!
sasa watu nje wakawa wametulia wanasubiri zamu ifike ghafla bin vuu yule mama wanamuona anatimka mule ndani kama hana akili nzuri na machozi yote kushnei.
kilicho washangaza watu ni kwamba alikua hana hata nguvu za kusimama sasa je zile nguvu za kutimkia mbaka mtaa wa pili alizipata wapi???
watu wanafki sana!
kama kawaida maiti ilipotoka hospital kwa ajili ya kufika kwa mazishi huingizwa ndani sitting room na mke na watoto wakawa tayari kwa ajili ya kutoa heshima za mwisho.
Jeneza likafunguliwa wakati bibie anaenda kuaga akawa analijiliza kupita kiasi kila wakimsihi wapiiii!! "mume wangu weee bora ungenisubiri tufe wotee" ntalea na nani hawa watoto..nk.. sasa bwana ile anafika tu pale kwenye maiti mara panya na nyoka wakawa wana fukuzana darini ghafla ile mama anafika tuu kwenye jeneza nyoka akaangukia ndani ya maiti!!
sasa watu nje wakawa wametulia wanasubiri zamu ifike ghafla bin vuu yule mama wanamuona anatimka mule ndani kama hana akili nzuri na machozi yote kushnei.
kilicho washangaza watu ni kwamba alikua hana hata nguvu za kusimama sasa je zile nguvu za kutimkia mbaka mtaa wa pili alizipata wapi???
watu wanafki sana!
