Somalia_Prince
Senior Member
- Dec 15, 2024
- 196
- 231
Mteja...itakua wamemyima dozi..
Mjinga mm una akili sana, watu wataingia barabaran kufa tena wa tabaka la chini kabisaa kupigania haki ambayo maslah yake ni tabaka la kati
Kwani yule askari mstaafu wa Kinyerezi aliyuwawa alikuwa tabaka gani?Aisee
Upanga, Kariakoo na maeneo yote ya wenye uchumi wa kati walikuwa kimya 29
Hunizidi mimi mkuu wangu, naipenda sana nchi yangu Jamhuri ya TanganyikaMimi nashauri huu muungano uvunjike tu ila kila mtu ajivunie nchi yake. Binafsi nina mapenzi zaidi na Tanganyika kuliko Tanzania.
Umepigwaa pasiMm sina matako mbn unanisingizia dada😆
Fatuma Karume enzi za Magu nilikuwa najua ni bonge ya mtetezi wa haki za binadamu, kumbe ni udini ulikuwa unamsumbua!Pamoja na kusikia idadi kubwa ya wananchi kufariki wakati wa uchaguzi/ maandamano October 29 mwaka huu Wazanxibari woke kimya kabisa.
Si Rais Mwinyi wala wanaharakati kama Fatma Karume wamenyanyua mdomo.
Watanganyika mjitathmini!
Hawawz kuelewq kabisaa, ngoja tuingie tena barabaranAisee
Upanga, Kariakoo na maeneo yote ya wenye uchumi wa kati walikuwa kimya 29
Mnafiki tu yule!Fatuma Karume enzi za Magu nilikuwa najua ni bonge ya mtetezi wa haki za binadamu, kumbe ni udini ulikuwa unamsumbua!
Ndio ila ni mtamu 😎Umepigwaa pasi
Aisee kumbe Mtam ni tatizo jingine hiloNdio ila ni mtamu 😎
upo sahihi sana Maria alikuwa CCM pro max namshangaa sana leo kuna kitu kakosa ndo analipa kisasiNdo maana mimi bwana uwa sifati mkumbo.kwenye mambo ya siasa.kuna wengine uwa Wana kuwa wanaharakati sababu ya kubanwa maslahi yao sio Kwa ajili ya watu.
Kama maria sarungi kipindi Cha kikwete alikuwa karibu na watu wa ccm.alikuww na kampuni yake ya media ya compass.alikuwa anapata madili ya matukio ya viongozi.alipokuja magufuli zile semina akakata.BIFU NA HARAKATI ZIKAANZA
TEC hata magufuli walipiga kelele shida masheikh nguruwe hayana akili ya kufanya utafiti , wakati wa magufuli kuna askofu alizuiwa kabisa kusafiri nje na mwingine alinyanganywa uraia mmesau kwa sababu ya kuvimbiwa nguruwe mnaokula kwa siriWajumlishe na TEC nao kipindi hiki wamekamatwa kisawasawa ndio maana mikelele mingi
Karibu kipenziAisee kumbe Mtam ni tatizo jingine hilo
Ili unimafweleKaribu kipenzi
Walimkataa magufuli kuwa Mungu wao akawatia pin kwenye mirija yao wakaanza kupiga kelele ukute ndio waliomtanguliza akhera mkatoliki mwenzaoTEC hata magufuli walipiga kelele shida masheikh nguruwe hayana akili ya kufanya utafiti , wakati wa magufuli kuna askofu alizuiwa kabisa kusafiri nje na mwingine alinyanganywa uraia mmesau kwa sababu ya kuvimbiwa nguruwe mnaokula kwa siri