PostGE2025 Unafiki wa Wazanzibari: Fatma Karume kimyaaa!

PostGE2025 Unafiki wa Wazanzibari: Fatma Karume kimyaaa!

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Katika kitu ambacho kwa sasa wazanzibar na wa oman awataki hata kukisikia ni neno kuvunja muungano ...wanaweza hata kukuua ila muungano usivunjike ...
Hawawezi kukubali kunyang'anywa chakula
 
Most do sacrifice their soul for funny events. Wanadhan kama kufata upepo wa movement za gen z Afrika ni uzalendo na fashion. Mbaya zaidi maamdano haya hapa bongo hayana kichwa kinachoyaongoza kwamba mama akiondolewa pale huyu tunamuamini apewe au akae kama serikal ya mpito kam inavyodaiwa
Uvccm punguzeni matako,maana nyinyi ni wajinga wajinga sana
Hahaha 😆 umeona eeh
Wewe malaya,na Dictator wenu katili, D9 tunawafurusha
 
Binafsi nina mapenzi zaidi na Tanganyika kuliko Tanzania.
Kuna mzee alikua anang'ang'ania hili mpaka wakamfunga kamba wakimuhisi ni chizi au amerukwa na akili, kwamba yeye Tanzania haielewi anayoielewa ni Tanganyika pekee, wairudishe Tanganyika, sasa hivi ni Marehemu.
 
Uvccm acheni upumbafu,na nyinyi mtafikiwa na huyu dictator, aliyejipachika uraisi
Mm sio mwqnachama wa cham chochote mkuu, ila ifike kipimdi tuwe na huruma na watu. Mm nafhan kama njia ya nguvu ni sahihi mapori kibao Tanzania hii ingieni porini tu sio kuwasisitiza wananchi wakagombane na polisi mitaani polisi mwenyew anapata nn zaidi ya kutetea ugali wake?

Haki zote zinazodaiwa hapa Maslahi yake ya moja kwa moja sio ya tabaka la chini. Ufisadi nchi hii unafanywa na level zote, cha kuangaliwa zaidi ni mfumo na namna gan hasa mipango yote itakuwa kweli kwa mwananchi wa ngaz ya chini kabisa. Helq za kukomboa vijana kiuchumi aslimia kubwq zinachinjwa ngazi hiyohiyo ya wilaya na mikoa kwa mfano mdogo tu
 
Kuzungumzia maafa siyo sheria kila mtu ayazungumze, Wazanzibari walishapitia changamoto zao za uchaguzi sasa hivi wameshajifunza wameamua kujenga nchi yao. Sasa hivi ni zamu yetu tutajifunza maisha yataendelea. Halafu kwenye maisha inaweza ikafikia hatua ukaamua kukaa kimya ili upate amani ya moyo, kuliko kujifanya shujaa uanze kuishi kama digidigi. Kuna watu wako nje ya nchi wanatamani warudi Tanzania, ila jinsi walivyovuruga humu ni bora waendelee kuishi nje kwa Political Asylum.
..wanaounga mkono udhalimu wanaweza ishia kuuawa au kifungo cha maisha pia
 
Uvccm punguzeni matako,maana nyinyi ni wajinga wajinga sana

Wewe malaya,na Dictator wenu katili, D9 tunawafurusha
Mwendawzim wewe, maandamano unayaganya hapa jf kwa kutukana member wenzio? Hii ni sehem ya hoja mzee. Kama unataka kumfurusha Samia Chamwino unapajua kama huna nauli tukuchangie hapa
 
..wanaounga mkono udhalimu wanaweza ishia kuuawa au kifungo cha maisha pia
National Security ndiyo kipaumbele kuliko faida ya watu wachache. Hatakiwi kuchekewa mtu yoyote anayehamasisha uvunjifu wa amani kwa njia ya kudai haki.
 
Ila mama nae ana madhaifu yake.kwanini ana waachia watekaji?
Ukiijua siasa na porojo zake hutapata shida kuna namna huko kwenye siasa wanaharibiana kazi sitaki kuamini eti hata magu alikuwa anateka na kuwafunga watu kwenye viroba mtu ambae hata kunyonga wenye makosa alikataa
 
afadhali ya kaskazini hata ukitaka mke unapewa ila sio zanzibar,
watu wa visiwa vile wana roho ngumu sana, ndo maana mabinti wa huko wako tayari watatuliwe marinda ili tu kuitunza bikra.
 
Mm sio mwqnachama wa cham chochote mkuu, ila ifike kipimdi tuwe na huruma na watu. Mm nafhan kama njia ya nguvu ni sahihi mapori kibao Tanzania hii ingieni porini tu sio kuwasisitiza wananchi wakagombane na polisi mitaani polisi mwenyew anapata nn zaidi ya kutetea ugali wake?

Haki zote zinazodaiwa hapa Maslahi yake ya moja kwa moja sio ya tabaka la chini. Ufisadi nchi hii unafanywa na level zote, cha kuangaliwa zaidi ni mfumo na namna gan hasa mipango yote itakuwa kweli kwa mwananchi wa ngaz ya chini kabisa. Helq za kukomboa vijana kiuchumi aslimia kubwq zinachinjwa ngazi hiyohiyo ya wilaya na mikoa kwa mfano mdogo tu
Cha kusikitisha ni kwamba watu wenye akili hawaelezi tumefika fikaje hapa tulipo.
Nchi inajiendea tu kama kuna watu hawana vichwa.
 
Ndo maana mimi bwana uwa sifati mkumbo.kwenye mambo ya siasa.kuna wengine uwa Wana kuwa wanaharakati sababu ya kubanwa maslahi yao sio Kwa ajili ya watu.
Kama maria sarungi kipindi Cha kikwete alikuwa karibu na watu wa ccm.alikuww na kampuni yake ya media ya compass.alikuwa anapata madili ya matukio ya viongozi.alipokuja magufuli zile semina akakata.BIFU NA HARAKATI ZIKAANZA
na ww unasubir unanwe kweny mamb yako ndo uongee ? pekee yake utaeza ikabil serikali ?
 
Cha kusikitisha ni kwamba watu wenye akili hawaelezi tumefika fikaje hapa tulipo.
Nchi inajiendea tu kama kuna watu hawana vichwa.
Unataka kufaham nn kuhusu "hapa tumefukaj" ni kwa nn tumefika, ni kwa jinsi gani tumefika? Au na wewe ni tabaka la kati?

Mana hiv vitu sizungumzi kwa utashi, vipo kwemye sayans8 tayari soma political economy vizur
 
Unataka kufaham nn kuhusu "hapa tumefukaj" ni kwa nn tumefika, ni kwa jinsi gani tumefika? Au na wewe ni tabaka la kati?

Mana hiv vitu sizungumzi kwa utashi, vipo kwemye sayans8 tayari soma political economy vizur
Si kwamba hatujui tumefikaje hapa.
Inahitaji umakini kumfunga paka kengele shingoni..
 
Back
Top Bottom