PostGE2025 Unafiki wa Wazanzibari: Fatma Karume kimyaaa!

PostGE2025 Unafiki wa Wazanzibari: Fatma Karume kimyaaa!

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
17,547
Reaction score
28,494
Pamoja na kusikia idadi kubwa ya wananchi kufariki wakati wa uchaguzi/ maandamano October 29 mwaka huu Wazanxibari woke kimya kabisa.

Si Rais Mwinyi wala wanaharakati kama Fatma Karume wamenyanyua mdomo.

Watanganyika mjitathmini!
 
Screenshot_20251121_071112_X.jpg
 
Ndo maana mimi bwana uwa sifati mkumbo.kwenye mambo ya siasa.kuna wengine uwa Wana kuwa wanaharakati sababu ya kubanwa maslahi yao sio Kwa ajili ya watu.
Kama maria sarungi kipindi Cha kikwete alikuwa karibu na watu wa ccm.alikuww na kampuni yake ya media ya compass.alikuwa anapata madili ya matukio ya viongozi.alipokuja magufuli zile semina akakata.BIFU NA HARAKATI ZIKAANZA
 
Ndo maana mimi bwana uwa sifati mkumbo.kwenye mambo ya siasa.kuna wengine uwa Wana kuwa wanaharakati sababu ya kubanwa maslahi yao sio Kwa akili ya watu.
Kama maria sarungi kipindi Cha kikwete alikuwa karibu na watu wa ccm.alikuww na kampuni yake ya media ya compass.alikuwa anapata madili ya matukio ya viongozi.alipokuja magufuli zile semina akakata.BIFU NA HARAKATI ZIKAANZA
Mjinga mm una akili sana, watu wataingia barabaran kufa tena wa tabaka la chini kabisaa kupigania haki ambayo maslah yake ni tabaka la kati
 
Pamoja na kusikia idadi kubwa ya wananchi kufariki wakati wa uchaguzi/ maandamano October 29 mwaka huu Wazanxibari woke kimya kabisa.

Si Rais Mwinyi wala wanaharakati kama Fatma Karume wamenyanyua mdomo.

Watanganyika mjitathmini!
Kwani, ulikuwa huwajui? Hao ndiyo wazanzibari wanaotumia muungano kutunyonya na kutuona wapumbavu kwa kuwavumilia badala ya kuwatimua warudi kwao wakamalizane wao wenyewe. Najua wanao mgogoro kati ya Pemba na Zanzibar, mabaki ya waarabu na vizalia vya wamakonde watumwa, waliokuwa watumwa na watumikishaji
 
Pamoja na kusikia idadi kubwa ya wananchi kufariki wakati wa uchaguzi/ maandamano October 29 mwaka huu Wazanxibari woke kimya kabisa.

Si Rais Mwinyi wala wanaharakati kama Fatma Karume wamenyanyua mdomo.

Watanganyika mjitathmini!
Screenshot_20251120-220343~2.png
 
Hahaha 😆 umeona eeh
Alafu wanajiona mashujaa na wazalendo. Mama kaongez bajet ya miradi ys kukomboa vijana na wlemavu kwa bajeti ya bilion 900 kama alivyosema kwenye kampeni zake. Wakati mara ya mwisho ilikuwa around bilion 700 kwa maelezo ya H polepole ni uongo wa wazi.

Swali je ni mtanznia gan ambaye hana mtaji kijana mtaani aliwah kupata hiyo mikopo ztoka kuanzishwa kwake?. Zama za magufuli kuna vijana walipewq hela usiku stendi laki 3-tatu kila mmoja. Mana magufuli alipitisha greda la utathmin na watu walihaha usiku ule pale mbagala
 
Alafu wanajiona mashujaa na wazalendo. Mama kaongez bajet ya miradi ys kukomboa vijana na wlemavu kwa bajeti ya bilion 900 kama alivyosema kwenye kampeni zake. Wakati mara ya mwisho ilikuwa around bilion 700 kwa maelezo ya H polepole ni uongo wa wazi.

Swali je ni mtanznia gan ambaye hana mtaji kijana mtaani aliwah kupata hiyo mikopo ztoka kuanzishwa kwake?. Zama za magufuli kuna vijana walipewq hela usiku stendi laki 3-tatu kila mmoja. Mana magufuli alipitisha greda la utathmin na watu walihaha usiku ule pale mbagala
Vijana hawaeleweki wanataka nini!
 
Kama kwa wakati huo mnaadui mmoja saidianeni kumpiga. Lakini hilo halimaanishi nyie ni marafiki au mna malengo sawa.
 
Pamoja na kusikia idadi kubwa ya wananchi kufariki wakati wa uchaguzi/ maandamano October 29 mwaka huu Wazanxibari woke kimya kabisa.

Si Rais Mwinyi wala wanaharakati kama Fatma Karume wamenyanyua mdomo.

Watanganyika mjitathmini!
Kuzungumzia maafa siyo sheria kila mtu ayazungumze, Wazanzibari walishapitia changamoto zao za uchaguzi sasa hivi wameshajifunza wameamua kujenga nchi yao. Sasa hivi ni zamu yetu tutajifunza maisha yataendelea. Halafu kwenye maisha inaweza ikafikia hatua ukaamua kukaa kimya ili upate amani ya moyo, kuliko kujifanya shujaa uanze kuishi kama digidigi. Kuna watu wako nje ya nchi wanatamani warudi Tanzania, ila jinsi walivyovuruga humu ni bora waendelee kuishi nje kwa Political Asylum.
 
Alafu wanajiona mashujaa na wazalendo. Mama kaongez bajet ya miradi ys kukomboa vijana na wlemavu kwa bajeti ya bilion 900 kama alivyosema kwenye kampeni zake. Wakati mara ya mwisho ilikuwa around bilion 700 kwa maelezo ya H polepole ni uongo wa wazi.

Swali je ni mtanznia gan ambaye hana mtaji kijana mtaani aliwah kupata hiyo mikopo ztoka kuanzishwa kwake?. Zama za magufuli kuna vijana walipewq hela usiku stendi laki 3-tatu kila mmoja. Mana magufuli alipitisha greda la utathmin na watu walihaha usiku ule pale mbagala
Uvccm acheni upumbafu,na nyinyi mtafikiwa na huyu dictator, aliyejipachika uraisi
 
Vijana hawaeleweki wanataka nini!
Most do sacrifice their soul for funny events. Wanadhan kama kufata upepo wa movement za gen z Afrika ni uzalendo na fashion. Mbaya zaidi maamdano haya hapa bongo hayana kichwa kinachoyaongoza kwamba mama akiondolewa pale huyu tunamuamini apewe au akae kama serikal ya mpito kam inavyodaiwa
 
Ndo maana mimi bwana uwa sifati mkumbo.kwenye mambo ya siasa.kuna wengine uwa Wana kuwa wanaharakati sababu ya kubanwa maslahi yao sio Kwa akili ya watu.
Kama maria sarungi kipindi Cha kikwete alikuwa karibu na watu wa ccm.alikuww na kampuni yake ya media ya compass.alikuwa anapata madili ya matukio ya viongozi.alipokuja magufuli zile semina akakata.BIFU NA HARAKATI ZIKAANZA
Wajumlishe na TEC nao kipindi hiki wamekamatwa kisawasawa ndio maana mikelele mingi
 
Back
Top Bottom