Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 17,547
- 28,494
Pamoja na kusikia idadi kubwa ya wananchi kufariki wakati wa uchaguzi/ maandamano October 29 mwaka huu Wazanxibari woke kimya kabisa.
Si Rais Mwinyi wala wanaharakati kama Fatma Karume wamenyanyua mdomo.
Watanganyika mjitathmini!
Si Rais Mwinyi wala wanaharakati kama Fatma Karume wamenyanyua mdomo.
Watanganyika mjitathmini!