Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,413
- 11,065
Wabunge wetu wanatuona sisi wajinga. Juzi tu wamepitisha mafao ya wasiostahili kulipwa na kimsingi hao waajiriwa na hawana mkataba na wananchi kikatiba.
Wiki hii wanajifanya wanaropokwa kwa uchungu, hawa wanafiki wanaotaka kuuza sura huku mwishoni kuwasahaulisha Raia na uzuzu wao wa kushindwa kuisimamia na kuishauri na kukemea pale inapobidi.
Sakata la report ya Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali inatumika nyakati hizi kujikosha.
Awamu hii Raia hawadanganyiki hao wabunge uchwara ambao ni zao la uhuni wa kipumbavu wa utawala na malengo ovu ya Magufuli 2025 ni hukumu takatifu.
Nyakati hizi amsha amsha za kishamba huko bungeni tunazipuuza mwanzo mwisho.
Joto lao baridi yetu.
Wadiz.
Wiki hii wanajifanya wanaropokwa kwa uchungu, hawa wanafiki wanaotaka kuuza sura huku mwishoni kuwasahaulisha Raia na uzuzu wao wa kushindwa kuisimamia na kuishauri na kukemea pale inapobidi.
Sakata la report ya Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali inatumika nyakati hizi kujikosha.
Awamu hii Raia hawadanganyiki hao wabunge uchwara ambao ni zao la uhuni wa kipumbavu wa utawala na malengo ovu ya Magufuli 2025 ni hukumu takatifu.
Nyakati hizi amsha amsha za kishamba huko bungeni tunazipuuza mwanzo mwisho.
Joto lao baridi yetu.
Wadiz.