Unafiki wa Waarabu wadhihirika duniani

Unafiki wa Waarabu wadhihirika duniani

Status
Not open for further replies.
Mbona wakimbizi vijana wa Syria wanaoingia Ulaya wana afya nzuri na miili kama askari? Hakuna dhaifu,. Wametembia maili 100 kwa miguu ,mpaka kwa mpaka? Mmh nina wasiwasi...
 
sijaelewa mkuu tafadhali,rahisisha lugha kidogo afu mihemko pia eka pembeni mkuu hoja ni nzit mnoo ulyotoa.
Heshima Mkuu, mbona kawaida lugha nyepesi inafahamika... sema/uliza sehemu usiyoifahamu ?!! sina jazba ktk hili la SYRIA na IRAQi
!!
 
Wewe hujui kitu hujui ya yanayotokea. Wakimbizi hawaendi sehemu kwa kurushwa. Hakuna taifa linalopokea wakimbizi kwa kuwakaribisha na kuwapelekea ndege kuwahamisha. Huo ndio ukweli. Inapotokea vita na mauaji wahanga wanakimbilia mpakani nchi zilizo pokana nazo. Kwa syria imepakana na iraq..
Turkey
Lebanon
Jordan
Israel.

Na Syria inayo bahari na imepakana na nchi za Europe kwa bahari. Hivyo wakimbizi sio rahisi kuruka kwenda saudia au uae au tunisia au algeria au kuwait. Ukweli ni kuwa Jordan in wakimbizi 869000 kutoka Syria, Lebanon ina wakimbizi zaidi ya 1.9m kutoka Syria, Turkey in wakimbizi zaidi ya 2m kutoka Syria.

Israel haijaookea hata mmoja labda kuwapa silaha wahuni wazidi kuua. Na sasa wakimbizi hao wanakimbia kwenda europe kwa kuvuka bahari. Hakuna nchi inayokubali wakimbizi kutoka nchi nyingine. Ni mzigo hawamo lakini wakija hakuna budi.

By the way europe wanastahili wimbi hili la wa Syria wao ndo walo sababisha haya. Nchi imetulia wakaja na project yao ya free syria. Una free nini sijui...kwa kuondoa serikali kwa kufundisha wahuni kuua, Hivyo wanastahili ni wao wazungu ndo walosababisha
Waache waende huko europe itazidi kusilimi. Wewe ukipanga kuupiga vita uislam na Allah anakupiga kivyake
 
huo ni mkakati wa islamization of the world..... Wazungu hawauelewi.... Wanakimbilia huko na kuanzisha jumuiya zao. After some years, watakaokuwepo watalikumbuka hili!!!!

kaka yaan umechangia point sana
 
Kweli Mkuu imekuwa zahma, pia huku Dubai wazungu wa ULAYA,RUSSIA na AMERICA wamejaa wanatuwa na kuja kwa ndege kutafuta kazi na kuchakaraikia fursa za AJIRA ktk sekta zote hadi wanawake zao wapo pembezoni mwa HOTELi sijui wanataka biashara gani....?!??!?
Major Nyenyere Mkuu hakuna matusi hapa tunatafakari Crisis zana Civilization za kibinaadamu....... Elungata Syria ina Historiya na ni TAIFA la mwanzo hapa duniani hivyo itaheshimika hadi siku ya mwisho, Nenda ukatembelee maonyesho ya biashara zao ambazo zimpo humu mikoani na Dar (nchini) uone ufanisi wa kazi zao!!!
Kanyigo changia lako, hata ya Rwanda na wakimbizi wa Burundi,south sudan na Wahamijai haramu yote inafaa !!!

Hahahaaaaa uncle wewe?
 
Last edited by a moderator:
Wanaenda ulaya kuwasilimisha na kuwafundisha ustaaraf....subur uone after 20 yrs...Italy itakuwa na misikiti ya kutosha tu.....

Ustaarabu kama wa Syria sasa hivi sio?
 

Unajibu swali ambalo hujaulizwa, uliloulizwa hujajibu.

Sijauliza Europe inahitaji au haihitaji immigrants.

Nimeuliza, kwa nini Waislamu wanaowaita watu wengine makafiri, wao wanapigana vita, makafiri hawana vita, badala ya kukimbilia nchi zenye ustaarabu wa kiislamu, wanakimbilia kwa makafiri?

Mtu unakimbia na wake zako wanne, unaenda nchi ambayo hairuhusu myu kiwa na mke zaidi ya mmoja. Kwa nini usiende n hi yenyr kuruhusu habari zenu za wake wanne? Huo mfano mmoja tu.

Hungary wamesema hawataki wakimbizi wa kiislamu kwa sababu ya tofauti za kidini na utamaduni.

Hujajibu swali hili. Unakimbilia kuniwekea links za Europe needs immigrants. Hilo si swali nililouliza, nililouliza hujajibu.
 
Hahahaaaaa uncle wewe?
Oh My highiest RESPECT !! Samahani sana..... Wandugu kweli inasikitisha kuona maafa na hali mbaya ya wakimbizi....kote Duniani siyo jambo la kukodolea macho, Linaweza ibuka nchi yeyote hapa Duniani.!!
God Forbid.....
 
Mkuu umeongea point sana ila nimekudharau tu ulipo sema kupiga vita uislamu. Mimi sizungumzii udini hapa. Vipi Mbona unajistukia?. Kwa sababu Kama ni dini Mbona huko wanakokimbia wote ni dini moja? Sasa kinachowakimbiza ni nini?.

Ninachozungumzia ni roho mbaya ya waarabu.pamoja na utajiri wote waliopewa duniani lakini wameshindwa kusaidia akina mama na watoto wanaoteseka na kupoteza maisha majini wakikimbilia ulaya. Kwani moja wao wa emirate uko wapi? Think over
 
The six Gulf countries - Qatar, United Arab Emirates, Saudi Arabia, Kuwait and Bahrain - have offered zero resettlement places to Syrian refugees

Germany has pledged 30,000 places for Syrian refugees through its humanitarian admission programme; nearly half the global total of resettlement and humanitarian admission programme places for Syrian refugees and 82 per cent of the EU total.Germany and Sweden together have received 96,500 new Syrian asylum applications in the last three years, representing 64 per cent of all such applications in the EU.Excluding Germany and Sweden, the remaining 26 EU countries have pledged a mere 5,105 resettlement places, or 0.13 per cent of Syrian refugees in the main host countries.

amnesty.org/en/latest/news/2014/12/facts-figures-syria-refugee-crisis-international-resettlement/
 
Inabidi usome historia sana ndugu yangu,hakuna kiumbe duniani anatamaa na mnafiki na mbinafsi kama mwafrika, na kama wasinge kuwa wanafiki wasingetawaliwa miaka hiyo yote na kusingekuwa na biashara ya utumwa,Leo bara la afrika ndiyo linaongoza kwa kuwa na ardhi nzuri na madini kibao na ndiyo wanaongoza kukimbia nchi zao.

Waarabu angalau walijenga nchi zao mwafrika hadi Leo ni ombaomba nenda south Sudan halafu uone mwafrika alivyo ,mwafrika hata baadhi za mila Leo hii tanzania baba anakula kabla ya watoto, kwahiyo kabla hatujaangalia wengine tujiangalie waafrika kwanza.
 
Inabidi usome historia sana ndugu yangu,hakuna kiumbe duniani anatamaa na mnafiki na mbinafsi kama mwafrika, na kama wasinge kuwa wanafiki wasinge tawaliwa miaka hiyo yote na kusingekuwa na biashara ya utumwa,Leo bara la afrika ndiyo linaongoza kwa kuwa na ardhi nzuri na madini kibao na ndiyo wanaongoza kukimbia nchi zao.

Waarabu angalau walijenga nchi zao mwafrika hadi Leo ni ombaomba nenda south Sudan halafu uone mwafrika alivyo ,mwafrika hata baadhi za mila Leo hii tanzania baba anakula kabla ya watoto,kwahiyo kabla hatujaangalia wengine tujiangalie waafrika kwanza.
Usiwe muongo mkuu. Hiyo sudani ya kusini unayoisemea huijui. Albashiri mwarabu ndiye aliyeua wasudani zaidi ya milioni 3 kwa lengo la kuwaua wote weusi wa kusini ili achukue ardhi Yao yenye utajiri wa mafuta. Ndiyo maana mpaka Leo kuna warrant ya kumkamata ya ICC. Mwarabu ni mnafiki pasee, usibabaike na kanzu na mabusu ya kinafiki.
 
Ungeona jinsi watoto na akina mama wa kiarabu wanavyokufa majini na huku wakiopolewa na wazungu Kama samaki usingeongea haya. Mimi roho inaniuma sana. Ndiyo nikasema pamoja na utajiri wote waliopewa waarabu tangu kuumbwa kwa dunia hii wameshindwa kuwasaidia hawa wahanga? Je ni kweli kuwa nchi zote za kiarabu duniani zina vita kwa sasa mpaka waamue kukimbilia ulaya kwa kutumia maboti haya hatari? Na je umoja wao wa emirate unafanya nini? Ndiyo maana nikasema usimwamini kabisa mwarabu. Sasa hayo ya udini ni yenu
Hapo Major sasa umesema na kueleza vizuri, Nashukuru kuwa umepunguza matusi... Hapo tunaweza kuendlea kwa utulivu ktk uzi huu!!
 
Waliosababisha ukosefu wa utulivu katika hayo mataifa ya waarabu ni wakina nani? Hao waliopeleka vita Iraq, Syria, Libya n.k ndio wabebe mzigo wa wakimbizi.

Hivi jirani yako akikusababidhia matatizo kwenye ndoa yako utampelekea watoto wako ili awalee .........!!?
 
Mkuu nadhani unachanganya mambo, wengi wanaokufa baharini ni hawa wenzetu wanaotoka africa kaskazini na magharibi hata pembe ya Africa ambao wanatumia short cut ya Libya to Italy kuingia Europe, Wasyria watutumia njia ya Hungary
Ww uko mbali na dunia mkuu. Tizama habari za cnn bbc na aljazeer, ndiyo habari zao wiki yote nzima
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom