Unafiki wa Waarabu wadhihirika duniani

Unafiki wa Waarabu wadhihirika duniani

Status
Not open for further replies.
Ukitaka juu uwezo wa Kufikiria wa Watanzania walio wengi ni ziro na ndio maan hata siasa walio wengi wanafata upepo tu unavo vuma.

Wamejaa chuki ,kachfa na dharau na mbaya zaid wenyewe hawajitambu wapo kundi gani? Inasikitisha sn.
 
Unajuwa hii ni wapi?

131008-tel-aviv-racism-screenshot.jpg
 
Huo ni mkakati wa Islamization of the world..... Wazungu hawauelewi.... Wanakimbilia huko na kuanzisha jumuiya zao. After some years, watakaokuwepo watalikumbuka hili!!!!
 
waarabu wapi anawaongelea huyu mtu?,,,kwani jordani si ina wakimbizi toka syria.?,lebanoni pia na hata iraq,turkey,wewe ulitaka waende wapi ndo uridhike?,

Kiislamu wanawaita watu makafiri, halafu haweshi kuwakimbilia wakipata matatizo. Mbona nchi za kiarabu/ kiislamu nyingi tu na waarabu wanakimbilia Germany?
 
Ujio mwema na kwa HESHIMA zote, Kama lafudhi ya kiume itakuwepo kwa pande zote mbili basi ntaendela, Ila pakiwepo matusi basi ntastaafu!! (maana sote tuna ulimi pata huu.... washiriki wote walijue hilo)
Kuanzia masharika ya ardhi hii hadi Magharibi Wanaadamu wote tumeumbiwa kulitumia na kusambaa ndani yake!!
hAPA duniani Nchi za IRAQ na SYRIA ndo zilizopendelewa na Muumba wa kauni hii kwa kwapa CHIMBUKO na UZAWA wa dini kongwe..... Kawapendelea waarabu kwa kuwa LUGHA mama ambao hadi huku kwetu iliweza zaa kiswahili (hilo halina upingifu)
RasiliMali na Mtaji wa SYRIA na IRAQI hadi kufikia mda huu na wakati wa leo ilikuwa KUJITEGEMEA na KUJITOSHELEZA kiuchumi ndani ya nchi zao na KIULINZI ndani mwao...(Uliza vijana wenu waliyosoma na kuishi huko miaka ya 1970,80,90~2010 watawaambia) hadi hii leo wa SYIRIA na MaIraqi wanatumia MASHINA ,Magari,Mitmo ya 1940s kwani wanao uwezo wa kutengeneza vipuri (spares) na kuendeleza techno hizo bila kuhutaji misaada au biashara na Nchi za Magharibi.... Zaidi ni kuwa hawakutegemea uchumi wao kwa kuumia Dollari za kimarekani wala Euro za Ulaya!!

Hiyo pia ni moja ya sababu Nchi za Magharibi kuanzisha zengwe na FITINA juu ya IRAQ na SYRIA na mnyonge wao LIBYA...

Sasa Limenuka mzigo wa wakimbizi waubebe wa Magharibi!!! ulichokitaka wamekipata.....!!
Tupo tunaendelea kuona matokeo ....!!

sijaelewa mkuu tafadhali,rahisisha lugha kidogo afu mihemko pia eka pembeni mkuu hoja ni nzit mnoo ulyotoa.
 
Mkuu ni ya kweli hayo na yote hayo husababishswa na wazungu ili wapate soko za silaha zao na bado sana hao waarabu kumshutukizia ni nani anaogombanisha na la mwisho wakimbizi hawatakwisha hadi kiama kisimame
Haha..kwani waoo hawakuanzisha kwetu ?Acheni mambo ya ajabu.waarabu nao walifanya na awanafanya kwa weusi na wengine ktk asia,na south amerika,wanamwaga hela sana kugawanaya watu na kutaka support.Kwanini na wao isiwe halalai kuliwa?
 
Duuuh!!? kuna warabu wasabato au wakatoriki kwel??

Mkuu Ha Ha Ha kanisa la orthodox asili yake ni Damascus, Syria nilikuwa tripoli ya Lebanon (sio ya Libya) 75%ni Christian
 
Huo ni mkakati wa Islamization of the world..... Wazungu hawauelewi.... Wanakimbilia huko na kuanzisha jumuiya zao. After some years, watakaokuwepo watalikumbuka hili!!!!
RIGHT !! and that right ...Tulilfanya huko Spain enzi za Andalusiya... tukafanya AFRICA tukafika INDIA tukasambaa hadi CHINA!! Leo tupo AMERIKA zote mbili...CANADA ndo nyumbani kbs!! Major Chimo kikuna kayaman FaizaFoxy "natumewatandikia ardhi muitumie kuzaliana na musambaae "

God Bless humankind!!
 
Last edited by a moderator:
Kinachowaumiza kichwa wazungu hapa ni the fact kuwa waislam huwa hawa surrender culture yao, for example hawapendi kuona wamevaa hijab na sio bikini zao, hawali vyakula vyao bali wanakula na kununua kwenye halal hotel na halal shops zao, na kuswali, so wanaona kama ni threat kwao kwakuwa wanazaana sana!
 
Unapo sema waarab wte dini moja una maana gani? Mbona unaongea vitu bila research? Halaf vurugu za waarab hazina connection yyte na dini,ww kwa nn unazungumzia udini? Je, maana yko ni kuwasema waarab au wafuasi wa hiyo dini? Ni mkimbizi gani alie omba hifadh nchi za kiarab akakataliwa?

Kosa la nani ni wakimbiz wenyewe au viongoz wa nchi za kiarab wametoa amri ya kuwakataa wakimbizi? Kwa taarifa yko wa swahil wanasema, mwenzako akinyolewa ww tia maji! Wakimbiz wte wanajua salama pekee ipo ulaya kwa kua aliebomoa ndo anaejua kujenga, kwann wakimbilie nchi za waarab wenzao wakat mataifa ya ulaya yana mpango wa kulifuta bara Arabu kwa vita, unyonyaji, ukandamizi na propaganda za ugaidi?

Ni lazma wakimbilie ulaya kwani majiran zao nao xx hv watavamiwa. Salama pekee ipo ulaya, sio unafiki, Mataifa ya magharib yatawajibika kuwanusuru waarabu kwani wao ndio walio tengeneza vita,.

Hitimisho, wakat mataifa ya magharib yapo bize kuisambaratisha Arab na kuifuta hio dini ulio isema ,waarab wapo bize kuhamia ulaya kuieneza hio dini bara la ulaya kupitia mpango maalumu wa migration,stay tune,soon europe will be Islamized.. Acha uchochezi.
 
Huo ni mkakati wa Islamization of the world..... Wazungu hawauelewi.... Wanakimbilia huko na kuanzisha jumuiya zao. After some years, watakaokuwepo watalikumbuka hili!!!!



 
Last edited by a moderator:
ikhlas

Nimezungumzia waarabu na sijasema dini ya mtu. Lakini Kama mpango ni kueneza dini ulaya, Mbona huko kwao ambalo wamezaliwa nayo hakukaliki? Fikiri zaidi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom