Naomba niseme kitu,kiukweli elimu yetu ulikuwa imeoza kwa kuwa wanafunzi walikuwa hawasomi,Instagram na fb kila dakika ndo ulikuwa kaz yetu then mtu huyo anasoma kwa kurelaz kwa kuwa unajua ataingia tu degree then mtu huyo huyo anakuja kupewa kaz na ndugu yake angalia GPA yake mbovu,mtu ana pass ya 2.7 then anapata kaz mapema kuliko mwenye GPA ya 3.5 na kuendelea,heshima Mtaani na makazini haipo,ukiwa na diploma au degree kila mtu anayo,fedha za serikali kupotea kusikoeleweka,TCU wanapeleka wanafunzi ****** then wanapewa mikopo alafu mbele ni hasara kwa taifa,udom wanafunzi 7000 ******,lakini tujiulize walipelekwa na nani kule,nani aliwapeleka
Solution kwa serikali walichofanya
1.njia za mkato,kwenda chuo hazipo,ukipita form5 na 6 au ukipita cheti na diploma mbele kuna daraja la kuvuka
2.kurudisha hadhi ya elimu,mwenye degree na diploma tutawajua kirahisi na heshima itakuwepo kwanzaia makazini,Mtaani na kila sehemu
3.fursa lukuki za ajira,baada ya mkaka mi3 watakaotoka vyuoni asubuhi unaptiliza kazini na sio kusubili mjomba au shangaz akuunganishie
4.chet cha diploma kitaheshimika na wahusika kujiajiri au kupewa kazi
5.tutapunguza vusingizio na ugumu Wa maisha,ile tabia ya kusema sijaendelea kwa kuwa baba au mlezi hana fedha itapotea,sasa hvi tutaomba cheti chako kwanza na ndo tutajua Shida fedha au ni ww ******
6.kila mtu atafanya kazi vizuri,wakusoma atasoma kweli,maana kazi ni nyepesi tu kudahili wasiojua
INSHORT:hata uwaambie Leo wanafunzi kuwa GPA ni 3.5 watakaopata ni wachache nimesoma ifm mkaka 5 huyo GPA haiji tu kama tunavotamka,mtu unakaa chini na kutuliza akili,lkini mwanafunzi Wa sasa hvi mwambie aamke saa11 asubuhi hataki,anaamka saa4 then tukipewa 3.5 tu nalalamika!!!!kila mtu achape kazi