rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,113
- 18,744
Cna maana hiyo ila kuna changamoto zinachangia kupata matokeo mabaya kuna tofauti kati ya kuishi na wazazi wako na asie mzazi wako baadhi ya watu hawana imani na maisha yako
Umeniacha na maswali....." Kuna haja gani ya kuendelea kupoteza muda shuleni ili hali wajua kabisa una changamoto na una hakika hutakuja kufaulu kamwe??