Hebu fikiria mkuu, mimi nimfanya biashara nataka nipate elimu ya business administration au marketing, huoni kama nitafika mahali nitakabwa na vigezo vilivyowekwa vya juu kwa ajili ya kuwapata wale wanaotafutwa kuwa waajiriwa wazuri wenye nadharia nyingi kichwani?
Hahaha! Umenifurahisha ndugu. Kumbuka kuna fursa ya kurudia mtihani ili kupata vigezo vinavyohitajika. Si rahisi kuweka vigezo ambavyo vitakidhi matakwa ya kila mmoja wetu. Bado pia kuna fursa ya kuanzia diploma, na baadaye ukatumia ufaulu wa diploma kujiunga chuo kikuu. Kwa kujielimisha zaidi, soma falsafa ya Plato na Socrates kuhusu elimu.
Samahani nime copy na ku paste tu, hivyo mpangilio si mzuri.
"Sound education system: selectively prepares the younger generation for differentiated future roles according to their abilities. enhances the general thinking abilities of people in a society. promotes individual happiness for the development of a just government. In a society, people’s intellectual abilities are naturally divided into three groups; golden boys, silver boys and iron boys.;
So, the education system should sift them for providing education that matches their abilities. Golden boys (the bright ones): their education should fit positions of philosopher kings, rulers, policy makers and planners. Responsible in making the society to be calm and prosperous. Silver boys, the less bright group but physically fit: would be trained to be defenders of people as well as supervisors for ensuring that the policies made are followed.
The iron boys, the dull ones were to be prepared for intellectually less demanding jobs; farmers, carpentry or iron smiths. For Plato, education is a practice of discovering and confronting the challenges of everyday living in the areas and positions in which each one would be best trained".