Ijaze NYAMA banaaa.Kwenye masuala ya burudani, kampuni ya Prime Time Promotion
ilijipatia zabuni ya Sh milioni 194.7. kumbe nao ni moja wa taasisi zinazoibomoa hii nchi,bse nao wametajwa ktk taasisi zilizo shiriki kwenye ufisad wa kutisha . shame on you.
Fafanua vizuri Hilo ni Dili au?Kwenye masuala ya burudani, kampuni ya Prime Time Promotion
ilijipatia zabuni ya Sh milioni 194.7. kumbe nao ni moja wa taasisi zinazoibomoa hii nchi,bse nao wametajwa ktk taasisi zilizo shiriki kwenye ufisadi wa kutisha . shame on you.
makada wakubwa hao ngoja
Hao kampuni moja na ila ya Ruge inayolalamikiwa kwa kuwaonea wasanii, unatarajia nini toka kwao?
Na wewe ni Mjanja?Acheni kuwa haters, prime time promotion ni kampuni ya ukweli ndo maana wajanja tunaikubali na tunaisuport coz jamaa wanajua wanachokifanya.
Acheni kuwa haters, prime time promotion ni kampuni ya ukweli ndo maana wajanja tunaikubali na tunaisuport coz jamaa wanajua wanachokifanya.[/QUOT wewe nawee,,,yaan unajiona bonge la mjanjaa eti,,,we two days watu wamekula mil 194, unaleta mambo ya kisharobaro hapa,,,toa hoja, sio unabana pua...nyonyonyooo haters! Mxiuuu]
Yaani unaongea without thinking,,mkataba ni nn? C mtu anaingia kwenye computer ana type wanasainishana mabilioni? Wewe uliza huyo mtu ana any evidence na huo ubadhirifu? Then kama ndio,,je service walotoa inaendana na hiyo hela? Pia, hapo unaweza wauliza ma experts kwenye sekta ya burudani inayofanana na hao prime kama hiyo amount ni sahihi,,,yhen utacheki accuracy, reliability, na vitu vingine ku prove hilo, sio unatoa povu jeipe tu hapa, bila logic! Nyambafuwanaolalamika wengi ni chuki binafsi but not maaslahi, kama inshu ni maaslahi si ku mikataba jamani?