Angalia ulichokiandikaUlimbukeni gani
km mimiNdo maana sinaga marafiki mimi
Mtani kitambo !Hiyo ni mitihani ya kawaida ya maisha
Nipo mtani.!Mtani kitambo !
Uwiiii mbavu zangTenda wema mpaka tunduma ukiingia Zambia we ni mkimbizi
Nashukuru mungu kwema kabisa sijui pande hizo .Nipo mtani.!
Kwema?
Nami pande hizi nipo poa kabisaNashukuru mungu kwema kabisa sijui pande hizo .
Shukran kwa kunijuza hilo .Nami pande hizi nipo poa kabisa
Ndo maana sinaga marafiki mimi
Mkuu "Labda Labda mama mzazi?" Nadhani unatania.Mama mzazi Kamwe hata kuwa LABDA.Mama mzazi Ni wa kupendwa Na kuaminiwa baada ya MwenyeziMungu kama unaamini MUNGU