Unafiki wa marafiki wa kibongo ndio huu..

Unafiki wa marafiki wa kibongo ndio huu..

Kutenganisha unafiki na utanzania ni sawa na kutaka Kutenganisha mwili na roho vitu hivi vinategemeana... Mwili unahitaji roho ili uishi na roho inauhitaji mwili kama hekalu lake kwa hapa dunia.
 
Angalia quality ya frens Zak nasio quantity zao. Keep ur circle small
 
Kila la kheri mkuu!
Ishi nao kawaida tu ata usiwambie kitu fanya maisha yako
 
Fanya ziara ya kushtukiza kwenye kwenye phonebook yako ondoa wasiofaa
 
Kutokana na huu ujinga ndio maana mm napenda sana kuhang around peke yangu na ukinikuta na mshikaji basi ujue anajisogeza tu.
 
Kwa kweli inaboa,hata mm pia ndo napitia hyo situation hakika inatatza na kinachoshangaza rafiki wengine ushawasaidia sana lkn wakishapata wanakuona miyeyusho
#sihitaji_marafiki#
 
Nafikiri umejifunza kitu sasa, sasa umepata kazi usikubali ukayarudia makosa waliyafanya wenzio.
 
Watu wanangalia watu ambao wakiwa nao watajiongeza vitu flanflan hasa ndugu unakuta pesa huna hata ushaur wa kimawazo huna na urafik ni kusaidiana katika shida na raha so wewe kutakua kusaidiana kwenye shida tu na hizo shida means wewe ndo usaidiwe maana wewe unakua huna msaada,ahahah lazima ukimbiwe! hakuna namna
 
Ndio maisha yetu haya mnakutana na jamaa mnaanza kunafikiana khabari za masiku mbona hatuonani umekuwa adimu ambapo wote mnajua hizo ni lawama mnapeana mnajua za KINAFIKI .

8d39bd0198423fd5259c5185f40df1da.jpg
 
Ndio maana nikamtaja hapo nafahamu mchango wake sana
 
Back
Top Bottom