Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,371
- 14,515
Sasa hata km wanakosea ndo usiseme kisa kuishi nao vizuri??.Ishi na ndugu zako vizuri utakula mema ya dunia hii
Sasa hata km wanakosea ndo usiseme kisa kuishi nao vizuri??.Ishi na ndugu zako vizuri utakula mema ya dunia hii
Sure..Hata sisi home mtu akila anaosha chombo chake..Japo sio lazima..Ila sio kwa wageniKweli kila familia ina taratibu zake..Yaani kila mtu baada ya kula anaenda kuosha chombo chake mwenyewe..Na hadi mgeni akija akishakula na yeye kwenye sink kuosha vyombo..
Ndio vijana wa siku hiZi hao....vumiliaKwanza rekebisha kauli kwa mama yako, huwezi kumuita mama yako mzazi mnafiki angekua mnafika angetoa mimba yako. Ukibadili heading tarudi.
Hahahahah umepinda weweUsimchane jamani ataumia halafu mtapata shida ya kumtibia
Hiyo familia kibokoHata mimi hapo nimeshangaa,
Kila mtu aosha chombo chake mmh basi kasheshe.
Nadhani kutakua na foleni kwenye sink baada ya kula.