umeshindwa kujenga hoja,ukaanza kwa kunitusi,labda urejee tena bila matusi,mstaarabu hatukani hizo ni dalili za kushindwa kama sio kushindwa kwenyewe.
1.ccm imeshindwa kuwashughulikiwa wezi wa EPA, DOWANS, TEGETA ESCROW watu wamepiga hela ILA bado wapo mtaani
2. Huduma mbovu hospital wagonjwa wanalala chini dawa hamna, fisadi akiugua anapelekwa nje ya nchi na kutembelea gari za kifahari, Baba yangu analazwa chini hospital Dr anamwangalia mwenye nacho bado uniambie makufuli!!;
3. Huduma mbovu shuleni, wanafunzi wanakaa chini huku mtoto WA fisadi anasoma st Mary anakuja kuchukuliwa na gari
4. Umeme ghali
5. Maji hayapatikani kwa wakati, mtaa wetu mwezi maji hamna Ni kawaida!! Hebu niambie mshahara wangu mdogo dumu la maji Ni buku, sijalipa Ada, umeme sijalipa!!
6.foleni zimezidi ela ya kutengeneza barabara nyingi za uhakika kaiba fisadi
6.mlituulia mwandishi wet mbeya na kesi mpaka sasa haieleweki
7. Mikataba ya madini hatuielewi haiwekwi wazi tukaelewa wananchi
yaani nikisikia mtu anashabikia na anaelewa Ni jinsi gani tunataabika naboreka kwa kweli, kama na wewe Ni mtanzania unatusaliti na kumtumai fisadi!!!
8. Mfumuko WA bei ndiyo unaniumiza kabisa na hela yetu kushuka thamani na deni la taifa kuzidi baada ya kupunguuuu..... Yaaya gete, uligwa makufuli Ni kabila langu ILA siangalii Hilo, naangalia mtu atakayeweza kutujali wananchi wake kama anavyojali familia yake na keki ya taifa sio wale wao Tu, tule wote na tutaabike wote