hippocratessocrates
JF-Expert Member
- Jul 1, 2012
- 3,598
- 1,545
Nimesikiliza hotuba kutoka Dodoma, ikiwa ni hotuba za hitimisho wa uchaguzi wa kupata mgombea wa CCM katika uchaguzi ujao, Oktoba 2015.
Ninashindwa kuelewa
1. Kwanini Taarifa za kiserikali kusomwa katika mikutano ya vyama.(Nasema hivi kwa sababu juna mambo kadhaa wabunge kadhaa wa CCM wamekuwa wakipinga na baadaye yanapokubalika kwa wananchi husema tjose three irritating words "Serikali ya CCM" )
2. Taarifa zisizo sahihi kupewa kipaumbele.(Uongo, yes, i said it)
Nimemsikia Waziri Mkuu akitoa mafanikio ya "Serikali ya CCM", kuwa
1. Mfumko wa bei umepungua.
2. Upatikanaji wa Dawa na huduma kuboreshwa kutoka asilimia 13 hadi asilimia 89.
3. Kiwango cha mikopo kupanda kutoka milioni 56 kwa mwaka hadi 300.
4. Uvumbuzi wa nishati(gesi) nk.
5. Ongezeko la waalimu(wasio na ajira).
6. Ongezeko la madaktari kutoka 1400 hadi 2300(wakisahau wanaokimbia nchi na wale wanaokimbilia private sector kila leo).
7. Ukuaji wa uchumi.
Kabla ya hapo, mjumbe toka Zanzibar amejivunia kwa serikali kutoa pensheni ya ishirini elfu(20,000/=Tshs) kwa mwezi, Seriously watu waliotumikia nchi anapeea 20,000/=Tshs, what can you do with that hardly in a week?
Nilitegemea, ni muda wa chama kujirudi(kutazama wapi hawakufikia malengo na ikawa focus ya ku_hit) katika uchaguzi ujao.
Naona somo la unafiki, uongo bado linawasumbua, sasa tukutane Oktoba 2015.
Ninashindwa kuelewa
1. Kwanini Taarifa za kiserikali kusomwa katika mikutano ya vyama.(Nasema hivi kwa sababu juna mambo kadhaa wabunge kadhaa wa CCM wamekuwa wakipinga na baadaye yanapokubalika kwa wananchi husema tjose three irritating words "Serikali ya CCM" )
2. Taarifa zisizo sahihi kupewa kipaumbele.(Uongo, yes, i said it)
Nimemsikia Waziri Mkuu akitoa mafanikio ya "Serikali ya CCM", kuwa
1. Mfumko wa bei umepungua.
2. Upatikanaji wa Dawa na huduma kuboreshwa kutoka asilimia 13 hadi asilimia 89.
3. Kiwango cha mikopo kupanda kutoka milioni 56 kwa mwaka hadi 300.
4. Uvumbuzi wa nishati(gesi) nk.
5. Ongezeko la waalimu(wasio na ajira).
6. Ongezeko la madaktari kutoka 1400 hadi 2300(wakisahau wanaokimbia nchi na wale wanaokimbilia private sector kila leo).
7. Ukuaji wa uchumi.
Kabla ya hapo, mjumbe toka Zanzibar amejivunia kwa serikali kutoa pensheni ya ishirini elfu(20,000/=Tshs) kwa mwezi, Seriously watu waliotumikia nchi anapeea 20,000/=Tshs, what can you do with that hardly in a week?
Nilitegemea, ni muda wa chama kujirudi(kutazama wapi hawakufikia malengo na ikawa focus ya ku_hit) katika uchaguzi ujao.
Naona somo la unafiki, uongo bado linawasumbua, sasa tukutane Oktoba 2015.