LD
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 3,014
- 574
Hivi wewe, hujawa mwaminifu kwa ndoa yako, na uzee wako unakchukua kabinti, unadhani utakatosheleza katika mambo yote
kweli. Ndo yale mapenzi ya kizee yaliyosemwa hapa siku moja.
Ina maana huko kwenye ndoa watu hamwezi kukaa bila nyumba ndogo jamani. Kha basi acheni mchunwe weeeeeeeeeeeee,
wengine faidi.
kweli. Ndo yale mapenzi ya kizee yaliyosemwa hapa siku moja.
Ina maana huko kwenye ndoa watu hamwezi kukaa bila nyumba ndogo jamani. Kha basi acheni mchunwe weeeeeeeeeeeee,
wengine faidi.