Wadau kesho nitakupeni current status ya hii saga as it stands today,najua MwanajamiiOne,Blueray,Shishi,Laligeni na wadau wengine watachukia lakini ndo ukweli wa maisha nitakavyoueleza.Ngoja niwahi kikao.
Mzee wa kusambaza malaria,
ukimfumania mkeo unatakiwa ujifanyie evaluation wapi unakosea mpaka usaidiwe?
Nina mtizamo tofauti vipi ukifumaniwa utafanya nini?
swali zuri mkuu!Nina mtizamo tofauti vipi ukifumaniwa utafanya nini?
jibu zuri, lakini je?Sina cha kufanya zaidi ya kuomba radhi kaka
swali zuri mkuu!
jibu zuri, lakini je?
uko tayari kumsamehe mtu uliyemfumania na mkeo?
Sina cha kufanya zaidi ya kuomba radhi kaka
Teh teh teh sijaowa kamanda.....ila nadhani ingebidi nijadiliane na wote...!
uko tayari kumsamehe mtu uliyemfumania na mkeo?
Komredi kumbe Belly wetu unamchezea tu hebu turudishie fasta tumatafutie mwingine😀
Yule unamsamehe tu baada ya shughuli nzito.
Lakini huyu wife au kimada biashara ndo inakwisha hapo hapo namwachia mgoni.
Kamanda sisi marafiki ukinifumania nafaidi shem wangu utanidhuru kweli?
Mi nakuachia jumla kamanda kwa nini tukosane wkt totoz zipo nyingi mkuu.
Mi nakuachia jumla kamanda kwa nini tukosane wkt totoz zipo nyingi mkuu.
Hii ni real story:Una ka small house,unakagharimia kila kitu kodi,chakula,umeme,maji mpaka usalama umemwekea Knight Support na biashara nzuri tu umemfungulia na gari juu(Harrier). Huyo bi mdogo anakutambulisha kwa kivulana kwamba ni cousin wake,kila kukicha yuko naye kwenye gari (dogo dereva) na mtoto anadai hicho kivulana kinamsaidia shughuli zake za biashara(ambayo umemfungulia wewe na unai support).Dubai, Guanzou,Hongkong anasafiri nako eti kanamsaidia shopping huko. Tufupishe story.Siku ya siku kwa kuwa una ufunguo wa small house unakuja bila kutarajiwa (si kwako bwana?) unafungua mlango wa mbele,kuingia ndani unasikia funny sounds,kufungua mlango wa bedroom(ambao kwa kujiamini wameacha wazi) unakuta dogo kaning'inia juu ya mamie,na kibaya zaidi bi mdogo anatoa kilio ambacho katu hujawahi kukisikia pamoja na 'ujuzi'wako! Mdau unafanyeje? Kumbuka wewe katika jamii unaitwa 'baba wa heshima' mwenye familia imara na kanisani wewe ni 'mzee wa kanisa'( kanisani una kiti maalum front bench).