MADAXWEYNE
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 1,543
- 3,340
Nanunua rubesa mbili za gomba na veveka na hasira inapotea na handas inatawala
Kabisa mkuu..Nina miaka kadhaa sijaumwa maralia wala Corona😀😀Safi hii itakuondosha na baadhi ya magonjwa
Hatar sana mkuuNafanya mapenz tena hasira ikizidi naziba macho naenda buza kwa mpalangee nikitoka hapo mwepesi na hasira sina
Blunt ndio nn??Just smoke a blunt
Marijuana, check your avatar.Blunt ndio nn??
Kwa nini sasa ilikuwa inaongeza hasira badala ya kupata ahueni?Nina siku nimekasirika seriously, ila huko nyuma ilikuwa namalizia kwenye sex, japo baada ya ilikuwa inaongeza hasira zaidi nikapambana kubadilika nikawa natafuta penye upepo km ufukweni ama vilimani najisikia ahueni sana na mwenye amani
Hakuna kitu kinaniuma ktk mwili km k yangu, napenda kuliwa ila naona km inafaidiwa sana, Sasa ilikuwa hasira zikipanda maana yake mzengeaji aliye karibu anaokota dodo maninerKwa nini sasa ilikuwa inaongeza hasira badala ya kupata ahueni?
Duuu... itabdi niibadilishe hii avatarMarijuana, check your avatar.
I tell you to use that cuz, it looks like you love it.
BangeeeeTurahisishe jibu.View attachment 1752951
Asee wewe kiboko, unasafirisha hasira zako kwenye treni 😂 😂 😂Njia nzuri hiyo mimi apo kabla nilikuwa naenda sehemu yenye reli nategeshea treni ikiwa inapita naongea makwazo yangu yote adi hasira zinaisha.
We kiboko.Hakuna kitu kinaniuma ktk mwili km k yangu, napenda kuliwa ila naona km inafaidiwa sana, Sasa ilikuwa hasira zikipanda maana yake mzengeaji aliye karibu anaokota dodo maniner
Jamani kwanini?We kiboko.