ukitaka kulala bila kupenda kama wewe ni mtenda dhambi chukua biblia anza kusoma, usingizi utakuja tuHabari wakuu!
Ili kuishi maisha ya furaha na kuwa na afya njema kulala usingizi mzuri ni sehemu muhimu ambayo huweza kuimarisha afya ya akili na mwili pia.
Leo naomba tujadili, wewe ili upate usingizi mzuri, unafanya nini kabla ya kulala?
Nikianza Mimi Mr. Purpose binafsi, ili nipate usingizi mzuri ni lazima nifanye moja ya vitu vifuatavyo au vyote kwa pamoja:-
1. Mazoezi ya viungo.
Jioni nikifanya jogging au mazoezi yoyote ya viungo huwa akili inatulia hivyo kupata usingizi mzuri bila tatizo.
2. Kuoga maji ya baridi kabla ya kulala.
3. Kufanya meditation jioni kabla ya kulala.
Hii huwa na mchango mkubwa sana na huwa hata nikiamka asubuhi mambo yangu huwa yanaenda vizuri sana.
4. Kusoma kitabu au makala yoyote.
5. Tendo la ndoa.
Hii nayo huwa ni sehemu ya kupata usingizi mzuri hasa pale ambapo limefanyika kwa umakini na umaridadi wa kutosha huwa nalala vizuri sana.
NB: kumbuka tendo la ndoa ni dawa na inasaidia kutibu magonjwa kadhaa, ntaleta uzi kulielezea kwa kina.
Sasa mdau, turudi kwako, wewe unafanya nini ili kupata usingizi mnono na kuamka ukiwa mchangamfu kiakili nakimwili pia?
Karibu tujadili.
Kama wewe sio mpenzi wa kusoma vitabu basi ukitaka kupata usingizi chukua kitabu kisha anza kusoma. Usingizi utakuja fast utalalaHabari wakuu!
Ili kuishi maisha ya furaha na kuwa na afya njema kulala usingizi mzuri ni sehemu muhimu ambayo huweza kuimarisha afya ya akili na mwili pia.
Leo naomba tujadili, wewe ili upate usingizi mzuri, unafanya nini kabla ya kulala?
Nikianza Mimi Mr. Purpose binafsi, ili nipate usingizi mzuri ni lazima nifanye moja ya vitu vifuatavyo au vyote kwa pamoja:-
1. Mazoezi ya viungo.
Jioni nikifanya jogging au mazoezi yoyote ya viungo huwa akili inatulia hivyo kupata usingizi mzuri bila tatizo.
2. Kuoga maji ya baridi kabla ya kulala.
3. Kufanya meditation jioni kabla ya kulala.
Hii huwa na mchango mkubwa sana na huwa hata nikiamka asubuhi mambo yangu huwa yanaenda vizuri sana.
4. Kusoma kitabu au makala yoyote.
5. Tendo la ndoa.
Hii nayo huwa ni sehemu ya kupata usingizi mzuri hasa pale ambapo limefanyika kwa umakini na umaridadi wa kutosha huwa nalala vizuri sana.
NB: kumbuka tendo la ndoa ni dawa na inasaidia kutibu magonjwa kadhaa, ntaleta uzi kulielezea kwa kina.
Sasa mdau, turudi kwako, wewe unafanya nini ili kupata usingizi mnono na kuamka ukiwa mchangamfu kiakili nakimwili pia?
Karibu tujadili.
, tena chukua kile ambacho hukielewi kabisa, ila lazimisha tu kukisomaKam
Kama wewe sio mpenzi wa kusoma vitabu basi ukitaka kupata usingizi chukua kitabu kisha anza kusoma. Usingizi utakuja fast utalala
chukua biblia tu, tena chukua kile ambacho hukielewi kabisa, ila lazimisha tu kukisoma
Duh unapiga nyet* kabisa1. Zamani Nilikua napiga p*ri au nacheki Movie.
2. Nikaja kua nasikiliza podcast ila sahivi nipo bush mtandao mdogo sana kustream Podcast.
Kwahiyo nadhani ushajua kwamba nimerudi Namba 1 kipengele "A" hapo juu. Sijawahi jutia
Jaribu kvant kubwa mkuu,hizo kitoko sio nzuri.Sijalala siku 2,hapa kichwa kiko waruwaru tu.
Nagonga kali ila bado jicho nyanya linadai tu,sijui nifanyeje
Inaezekana hii mkuu,maana shetani atakusaundisha ulale ili usisome Bible.ukitaka kulala bila kupenda kama wewe ni mtenda dhambi chukua biblia anza kusoma, usingizi utakuja tu
Duh, mkuu hii ngumu kumeza.Ukitaka ulale vizuri.kwenye godoro usitandike shuke Wala foronya.
Uwe na shuka ya kujifunika tu basi
kabla ya kupanda kitandani chemsha maziwa fresh changanya na Turmeric unywe kikombe kimoja tu ikiwezeka weka asali badala ya sukari( kama hujui Turmeric muulize google)Sijalala siku 2,hapa kichwa kiko waruwaru tu.
Nagonga kali ila bado jicho nyanya linadai tu,sijui nifanyeje
Ninavyo vyote boss, ila nakua nshazitwanga tayari hiyo dose haipandi. Najaribu keshokabla ya kupanda kitandani chemsha maziwa fresh changanya na Turmeric unywe kikombe kimoja tu ikiwezeka weka asali badala ya sukari( kama hujui Turmeric muulize google)
Ninayo hapa ndo kabisa inanifanya nikesheJaribu kvant kubwa mkuu,hizo kitoko sio nzuri.
Ukishindwa kupata usingizi kabisa basis kula biringanya kwa wingi kabla ya kulala.
Dahh pole sana Babu,jaribu biringanya babu itakusaidia.Ninayo hapa ndo kabisa inanifanya nikeshe
humu raha sana wana hatutupani kabisa, tunapeana ma idea kama yote. Ngoja tusubiri mrejeshoDahh pole sana Babu,jaribu biringanya babu itakusaidia.
Pia kama una mke,jitahidi piga kvant ya 250ml,kisha mpasue mwenza wako viwili vya kuunganisha,ule uchovu utakupa usingizi Babu.
Usisahau kuleta mrejesho hapa jf babu.
Nachapa daily vyote, sema usiku niko ka popo.Dahh pole sana Babu,jaribu biringanya babu itakusaidia.
Pia kama una mke,jitahidi piga kvant ya 250ml,kisha mpasue mwenza wako viwili vya kuunganisha,ule uchovu utakupa usingizi Babu.
Usisahau kuleta mrejesho hapa jf babu.