Unaejifanya CCM damu soma hapa

Unaejifanya CCM damu soma hapa

juvenile davis

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2015
Posts
4,752
Reaction score
4,475
Kwa taarifa yako wewe sio mwana ccm damu kama unavojipambanua,isipokuwa huna akiri kichwani mwako.chama kina wenyewe hicho. Na ndio hawa wafuatao
ALLY H MWINYI kamrithisha mwanae Husein mwinyi ni waziri
JAKAYA M KIKWETE kamrithisha mwanae Ridhiwani kikwete ni mbunge
JULIUS K NYERERE kamrithisha mwanae Makongoro nyerere ni mbunge wa africa mashariki
SAMWELI SITA kamrithisha mkewe anagombea ubunge urambo mashariki baada ya mumewe kustaafu
SAMWELI SITA anamrithisha mwanae Beni sita anagombea udiwani jijini dsm kata ya msasani
SINDE WARIOBA anamrithisha mwanae Kipi warioba anagombea ubunge jimbo la Kawe jijini dsm
MAKAMBA amemrithisha mwanae January makamba sasa ni waziri
NNAUYE amemrithisha mwanae ambae sasa anagombea ubunge jimbo la mtama
Sasa wewe unaejifanya ccm endelea kuburuzwa utaishia kuwa kada hata ukuu wa wilaya huapati
 
Na wote hao mbeleni wanautaka uraisi na uwaziri
 
Kwa taarifa yako wewe sio mwana ccm damu kama unavojipambanua,isipokuwa huna akiri kichwani mwako.chama kina wenyewe hicho. Na ndio hawa wafuatao
ALLY H MWINYI kamrithisha mwanae Husein mwinyi ni waziri
JAKAYA M KIKWETE kamrithisha mwanae Ridhiwani kikwete ni mbunge
JULIUS K NYERERE kamrithisha mwanae Makongoro nyerere ni mbunge wa africa mashariki
SAMWELI SITA kamrithisha mkewe anagombea ubunge urambo mashariki baada ya mumewe kustaafu
SAMWELI SITA anamrithisha mwanae Beni sita anagombea udiwani jijini dsm kata ya msasani
SINDE WARIOBA anamrithisha mwanae Kipi warioba anagombea ubunge jimbo la Kawe jijini dsm
MAKAMBA amemrithisha mwanae January makamba sasa ni waziri
NNAUYE amemrithisha mwanae ambae sasa anagombea ubunge jimbo la mtama
Sasa wewe unaejifanya ccm endelea kuburuzwa utaishia kuwa kada hata ukuu wa wilaya huapati

KIGOMA MALIMA - Ali Malima
RASHID KAWAWA - Vita Kawawa
MOSES NNAUYE - Nape Nnauye-
JOB LUSINDE – Livingstone Lusinde
 
Si uelezee wewe hiyo ya mtei km waiju?toa uchambuzi wako na ww...tusaminishe.
 
Malechela kamrisisha mkewe,anagombeau bunge,Kawawa karisisha mwanae Vita,yaani wako wengi mno,Mgimwa,Lusinde,Bulembo
 
Hakuna ajabu yeyote kwa mwana kufata taaluma ya mzazi/ndugu. Lisu hana ndugu kwenye siasa,slaa je?na kama sio mtei unafikiri tungemjua mbowe?Mfano mwingine ni marekani, tazama familia ya kennedy na sasa tazama familia ya bush. Nyie mlio majobless pia mmefata kwa wazazi wenu.kama baba alikua mpambe basi na wewe utakua mpambe.
 
Kwa taarifa yako wewe sio mwana ccm damu kama unavojipambanua,isipokuwa huna akiri kichwani mwako.chama kina wenyewe hicho. Na ndio hawa wafuatao
ALLY H MWINYI kamrithisha mwanae Husein mwinyi ni waziri
JAKAYA M KIKWETE kamrithisha mwanae Ridhiwani kikwete ni mbunge
JULIUS K NYERERE kamrithisha mwanae Makongoro nyerere ni mbunge wa africa mashariki
SAMWELI SITA kamrithisha mkewe anagombea ubunge urambo mashariki baada ya mumewe kustaafu
SAMWELI SITA anamrithisha mwanae Beni sita anagombea udiwani jijini dsm kata ya msasani
SINDE WARIOBA anamrithisha mwanae Kipi warioba anagombea ubunge jimbo la Kawe jijini dsm
MAKAMBA amemrithisha mwanae January makamba sasa ni waziri
NNAUYE amemrithisha mwanae ambae sasa anagombea ubunge jimbo la mtama
Sasa wewe unaejifanya ccm endelea kuburuzwa utaishia kuwa kada hata ukuu wa wilaya huapati
Kweli nyani haoni kundule, chambua na uongozi wa chadema ulivyo hadi sasa ili tupime kama wewe ni mskule au njaa inakusumbua.
 
Kweli nyani haoni kundule, chambua na uongozi wa chadema ulivyo hadi sasa ili tupime kama wewe ni mskule au njaa inakusumbua.
achana nae huyo, na yeye amefata kutoka kwa mzazi wake,upambe kwa wanasiasa
 
  • Thanks
Reactions: nao
Kumbe!!!
Nasikia na Mtei kamrithisha mkwewe Mbowe CDM
Kawapa akina Susan Lyimo, Mdee ubunge!
Huku Lisu na dada yake wakiwa Mjengoni!
Nadhani hakuna kuliko salama!
Hata wewe una upungufu wa akili kichwani kwa kushabikia hicho chama unacho shabikia!!
 
Si uelezee wewe hiyo ya mtei km waiju?toa uchambuzi wako na ww...tusaminishe.

Am So Sorry Kwasababu Unaongozwa Kiushabiki Na Mihemko.Nadhani Utakuwa Ushapata Jibu Lako Kwa Wachangiaji Wengine....
 
KIGOMA MALIMA - Ali Malima
RASHID KAWAWA - Vita Kawawa
MOSES NNAUYE - Nape Nnauye-
JOB LUSINDE – Livingstone Lusinde

Sio hilo tu wakuu angalieni na waajiriwa wa bank kuu ndo utajua kweli hawa jamaa wameifanya tanzania ni mali yao!
 
Kweli nyani haoni kundule, chambua na uongozi wa chadema ulivyo hadi sasa ili tupime kama wewe ni mskule au njaa inakusumbua.

kama unaujua si uuandike! wacha wivu kwenye post ya mwenzako.
 
Kwa taarifa yako wewe sio mwana ccm damu kama unavojipambanua,isipokuwa huna akiri kichwani mwako.chama kina wenyewe hicho. Na ndio hawa wafuatao
ALLY H MWINYI kamrithisha mwanae Husein mwinyi ni waziri
JAKAYA M KIKWETE kamrithisha mwanae Ridhiwani kikwete ni mbunge
JULIUS K NYERERE kamrithisha mwanae Makongoro nyerere ni mbunge wa africa mashariki
SAMWELI SITA kamrithisha mkewe anagombea ubunge urambo mashariki baada ya mumewe kustaafu
SAMWELI SITA anamrithisha mwanae Beni sita anagombea udiwani jijini dsm kata ya msasani
SINDE WARIOBA anamrithisha mwanae Kipi warioba anagombea ubunge jimbo la Kawe jijini dsm
MAKAMBA amemrithisha mwanae January makamba sasa ni waziri
NNAUYE amemrithisha mwanae ambae sasa anagombea ubunge jimbo la mtama
Sasa wewe unaejifanya ccm endelea kuburuzwa utaishia kuwa kada hata ukuu wa wilaya huapati

= akili

Wacha uongo hao wote waligombea na wakachaguliwa kwa kura kidemokrasia.

Onesha sasa wa chadomo waliopeana nafasi za ubunge za upendeleo.

Nani asiyependa kufanya kazi aifanyayo baba'ke? Labda awe mpika mbege tu.
 
Back
Top Bottom