Unaejifanya CCM damu soma hapa

Unaejifanya CCM damu soma hapa

Hapo wata kavyo koroma mwenyewe we utaona tuu .jinsi sisiemu watakavyo charuka.
 
Wewe katika maganda ya ndizi wewe ni lile ganda liliooza

Wenzako wana Malory wewe unanengeneka huku jamii forum hata ela ya kula na jamii yako huna

Asante Mkuu,lakini Mada Ipo Mezani Tuendelee Kuchangia.....
 
Mbona hata mafundi cherehani huwa rithisha watoto wao ufundi cherehani, mjenzi humrithisha mwanae ujenzi, mwanasiasa humrithisha mwanae siasa,bondia humrithisha mwanae ubondia!! Hata wewe mrithishe mwanao unachofit nacho ambacho yeye pia atakipenda.
 
Asante Mkuu,lakini Mada Ipo Mezani Tuendelee Kuchangia.....


Changia wewe unaenengeneka mitandaoni wenzako wanapiga mikwanja wewe unajifanya unawatetea

Wakati unakaa Nyumba ya kupanga swain
 
Changia wewe unaenengeneka mitandaoni wenzako wanapiga mikwanja wewe unajifanya unawatetea

Wakati unakaa Nyumba ya kupanga swain

Asante Mkuu....Kwani Kukaa Nyumba Ya Kupanga Ni Dhambi??
 
Kwa taarifa yako wewe sio mwana ccm damu kama unavojipambanua,isipokuwa huna akiri kichwani mwako.chama kina wenyewe hicho. Na ndio hawa wafuatao
ALLY H MWINYI kamrithisha mwanae Husein mwinyi ni waziri
JAKAYA M KIKWETE kamrithisha mwanae Ridhiwani kikwete ni mbunge
JULIUS K NYERERE kamrithisha mwanae Makongoro nyerere ni mbunge wa africa mashariki
SAMWELI SITA kamrithisha mkewe anagombea ubunge urambo mashariki baada ya mumewe kustaafu
SAMWELI SITA anamrithisha mwanae Beni sita anagombea udiwani jijini dsm kata ya msasani
SINDE WARIOBA anamrithisha mwanae Kipi warioba anagombea ubunge jimbo la Kawe jijini dsm
MAKAMBA amemrithisha mwanae January makamba sasa ni waziri
NNAUYE amemrithisha mwanae ambae sasa anagombea ubunge jimbo la mtama
Sasa wewe unaejifanya ccm endelea kuburuzwa utaishia kuwa kada hata ukuu wa wilaya huapati

Wewe ndiyo huna akili kabisaa. Ungekuwa na akili ungeenda kuchukua fomu za kugombea kitu chochote ccm badala ya kuleta porojo zako. Sasa hao watoto wa wakubwa unadhani wamepata huo uwaziri na ubunge? Wenzako wamepanda jukwaani. Tatizo wewe mwoga na huna maono. Kwani katika mawaziri na Wabunge wote huoni watoto wa wakulima wa kawaida?
 
Sio dhambi. Bali ni kuwa ccm ni dhambi kubwa ya mauti

Hahahah Mkuu Mimi Natetea Ccm Kwa Facts Nyie Ukawa Mnazofacts Ila Hamtaki Kuzitumia Mnabaki Kukejeli Kama Wewe Haujui Kila Mtu Ana Uhuru Kuwa Chama Akipendacho?Usihofu Lakini After 25 Oct Haya Yote Yatakwisha...
 
Kuna watu wasomi wanashupaliaga ishu ya chadema ya mtei na kina mbowe kama vile sio waelewa kabisa. Yani mtei kaanza chama kutoka ziro hana jengo hana mtandao wala nini alichorithi. Sasa ndio ulinganishe na ccm waliorithi kila kitu kuanzia majengo na viongozi wa tanu na asp? Mtei alianza na watu wake wa karibu aliowaamini na ndio chama kikasambaa na kukua kama tunavyokiona leo.
 
Kwa taarifa yako wewe sio mwana ccm damu kama unavojipambanua,isipokuwa huna akiri kichwani mwako.chama kina wenyewe hicho. Na ndio hawa wafuatao
ALLY H MWINYI kamrithisha mwanae Husein mwinyi ni waziri
JAKAYA M KIKWETE kamrithisha mwanae Ridhiwani kikwete ni mbunge
JULIUS K NYERERE kamrithisha mwanae Makongoro nyerere ni mbunge wa africa mashariki
SAMWELI SITA kamrithisha mkewe anagombea ubunge urambo mashariki baada ya mumewe kustaafu
SAMWELI SITA anamrithisha mwanae Beni sita anagombea udiwani jijini dsm kata ya msasani
SINDE WARIOBA anamrithisha mwanae Kipi warioba anagombea ubunge jimbo la Kawe jijini dsm
MAKAMBA amemrithisha mwanae January makamba sasa ni waziri
NNAUYE amemrithisha mwanae ambae sasa anagombea ubunge jimbo la mtama
Sasa wewe unaejifanya ccm endelea kuburuzwa utaishia kuwa kada hata ukuu wa wilaya huapati

Umesahau Kuongeza kuwa LOWASSA alitaka kumrithisha yule MKWE WAKE WA EXIM BANK - Mtu ambae anamtomba Mwanae - lakini hakufanikiwa.
Ulisahau pia kuwa MTEI NI MKWE WA MBOWE - MBOWE alipewa chama kama heshima ya kumtomba mtoto wa Mtei (sio kwa saabbu ya Demokrasia au uwezo wake wa kuongeza). Ngoja nikumbuke mengine nitakukumbusha.
 
Hahahah Mkuu Mimi Natetea Ccm Kwa Facts Nyie Ukawa Mnazofacts Ila Hamtaki Kuzitumia Mnabaki Kukejeli Kama Wewe Haujui Kila Mtu Ana Uhuru Kuwa Chama Akipendacho?Usihofu Lakini After 25 Oct Haya Yote Yatakwisha...


Facts huna, Mimi sijakukataza kushabikia unakotaka

Bali mimi binafsi sioni manufaa ya watu Wa ccm kuendelea kula kodi zetu

Kinachokera zaidi ni watu wachache kuwa miungu watu nchi imekuwa ya kiswahili sana kama tunaishi mangombe yote haya kwasababu ya misukule ya pale Lumumba
 
Kumbe!!!
Nasikia na Mtei kamrithisha mkwewe Mbowe CDM
Kawapa akina Susan Lyimo, Mdee ubunge!
Huku Lisu na dada yake wakiwa Mjengoni!
Nadhani hakuna kuliko salama!
Hata wewe una upungufu wa akili kichwani kwa kushabikia hicho chama unacho shabikia!!

Wewe ni fulafula la kwanza kama sio la mwisho,mimi nmekutajia chama changu hapo,? Lumumba ndio maana mmeambiwa hamna elimu wote na ni wazee,kumbe twaweza hawakukosea
 
Kwa taarifa yako wewe sio mwana ccm damu kama unavojipambanua,isipokuwa huna akiri kichwani mwako.chama kina wenyewe hicho. Na ndio hawa wafuatao
ALLY H MWINYI kamrithisha mwanae Husein mwinyi ni waziri
JAKAYA M KIKWETE kamrithisha mwanae Ridhiwani kikwete ni mbunge
JULIUS K NYERERE kamrithisha mwanae Makongoro nyerere ni mbunge wa africa mashariki
SAMWELI SITA kamrithisha mkewe anagombea ubunge urambo mashariki baada ya mumewe kustaafu
SAMWELI SITA anamrithisha mwanae Beni sita anagombea udiwani jijini dsm kata ya msasani
SINDE WARIOBA anamrithisha mwanae Kipi warioba anagombea ubunge jimbo la Kawe jijini dsm
MAKAMBA amemrithisha mwanae January makamba sasa ni waziri
NNAUYE amemrithisha mwanae ambae sasa anagombea ubunge jimbo la mtama
Sasa wewe unaejifanya ccm endelea kuburuzwa utaishia kuwa kada hata ukuu wa wilaya huapati

Nina wasiwasi na elimu yako, hivi unajuwa maana ya kurithisha?? Makamba alikuwa mbunge?? Makongoro alikuwa mbunge tena NCCR-Mageuzi wakati baba yake akiwepo bado hadi anamnyima kupanda ndege toka Msm to Dar kisa ameenda chama pinzani?? Hujui tafakari vizuri. Nitajie wenyeviti wa CDM Wote tangu kuanzishwa
 
Huyu "mimi mpemba" anaongea matusi machafu kwenye forum ya jamii!!!!!!!? Hana akili timamu apelekwe milembe huyu.hamna mjadala hapa. Evidence ndiyo hii msg yake hakuna msamaha kwa hili.mfungieni atafute uchochoro mwingine wa kuingia jf.
 
Nina wasiwasi na elimu yako, hivi unajuwa maana ya kurithisha?? Makamba alikuwa mbunge?? Makongoro alikuwa mbunge tena NCCR-Mageuzi wakati baba yake akiwepo bado hadi anamnyima kupanda ndege toka Msm to Dar kisa ameenda chama pinzani?? Hujui tafakari vizuri. Nitajie wenyeviti wa CDM Wote tangu kuanzishwa

Wewe usiwe kama mbwa koko,mimi sijataja chama changu hapo,hivi kwa nini nyie mafulafula ya lumumba mnakosa akili? Ndio maana mkaambiwa hamna elimu na twaweza
 
KIGOMA MALIMA - Ali Malima
RASHID KAWAWA - Vita Kawawa
MOSES NNAUYE - Nape Nnauye-
JOB LUSINDE – Livingstone Lusinde
GETRUDE MONGELA - John Mongela (Mkuu wa Mkoa wa ?);
AMANI ABEID KARUME - Karume (Rais mstaafu ZNZ) + Karume (Balozi);
JOHN MALECELA - le Mutuz:redfaces:; n.k.
 
Ni Vyema Pia Kama Ungeongelea Pia Ukoo Wa Mzee Mtei Ndani Ya Chadema....!!

Wewe pia ni vuvula kama wenzako,mimi sio chadema kwa hiyo usiniambie habari za mtei,tumia akili kuwaza wewe,lumumba kweli jinga sana nyinyi
 
Back
Top Bottom