Unaejifanya CCM damu soma hapa

Unaejifanya CCM damu soma hapa

Hakuna ajabu yeyote kwa mwana kufata taaluma ya mzazi/ndugu. Lisu hana ndugu kwenye siasa,slaa je?na kama sio mtei unafikiri tungemjua mbowe?Mfano mwingine ni marekani, tazama familia ya kennedy na sasa tazama familia ya bush. Nyie mlio majobless pia mmefata kwa wazazi wenu.kama baba alikua mpambe basi na wewe utakua mpambe.

Angarau weww kidogo umeongea kiakili kidogo japo sio sana ila umejitahidi kuliko hayo mavuvula mienzako
 
Ni Vyema Pia Kama Ungeongelea Pia Ukoo Wa Mzee Mtei Ndani Ya Chadema....!!
Ukoo upi? Mbona hakuna kiongozi wa CHADEMA anayekwenda kwa jina la MTEI? hebu mtaje!

CCM imefikia kikomo, hakuna namna tena! Sasa naamini CHADEMA ni chama cha watu wote bila kujali kabila, rangi, dini etc

CCM ina ubaguzi wa hali ya juu, upendeleo, ukiritimba, udini, ukabila, umimi, kujuana ndizo nguzo za CCM. Bora shetani kuliko CCM.
 
Facts huna, Mimi sijakukataza kushabikia unakotaka

Bali mimi binafsi sioni manufaa ya watu Wa ccm kuendelea kula kodi zetu

Kinachokera zaidi ni watu wachache kuwa miungu watu nchi imekuwa ya kiswahili sana kama tunaishi mangombe yote haya kwasababu ya misukule ya pale Lumumba

Sasa Unacholalama Nini?Subiri 25 Oct Mtutoe
 
Chadema hawana mtu yeyote kutoka ukoo wa mtei ambae ni kiongozi,acha uvuvula huo,mxiiiu

Sawa Mkuu Lakini Si Unajua Uongozi Wa Chadema Karibia Wote Ni Ndugu?Mf.Mtei Mkwe Wa Mbowe,alikua Mwenyekiti Na Sasa Kampa Mkwewe
 
Wewe pia ni vuvula kama wenzako,mimi sio chadema kwa hiyo usiniambie habari za mtei,tumia akili kuwaza wewe,lumumba kweli jinga sana nyinyi

Mkuu Sijasema Wewe Ni Chama Gani Nimekwambia Ingekua Vyema Pia Kama Uongelea Na Uongozi Wa Kindugu Uliopo Chadema Pia
 
George Bush babake alikua Rais USA. Mo Dewj babake alikua mfanyabiashara nk

Wanasaikolojia wanatuambia kwamba ni rahisi watoto kufanya kazi wanazofanya wazazi wao kwani ndio waalimu wao wa kwanza

Mpaka sasa wewe unachimba chumvi kwa sababu ndio kazi ya marehemu babu yako, na baba yako.. Nawe ukaijifunza..

Weka hoja nyingine mkuu
 
watoto wa lowasa mmoja bot mwingine ubalozini afrika kusini alitaka kumpa ubunge mkwe wake ikashindikana bado mtoto wa sumaye bot bado hatujaenda viti maalumu chadema ndio maana tunapinga chadema hii ya kina lowasa haiwezi kuleta mabadiliko
 
Hakuna ajabu yeyote kwa mwana kufata taaluma ya mzazi/ndugu. Lisu hana ndugu kwenye siasa,slaa je?na kama sio mtei unafikiri tungemjua mbowe?Mfano mwingine ni marekani, tazama familia ya kennedy na sasa tazama familia ya bush. Nyie mlio majobless pia mmefata kwa wazazi wenu.kama baba alikua mpambe basi na wewe utakua mpambe.

Kwa maana hiyo kuna mtoto atakuwa anabaruza wenzake mikwaju kwenye kura ya maoni eeh?
 
Kwa taarifa yako wewe sio mwana ccm damu kama unavojipambanua,isipokuwa huna akiri kichwani mwako.chama kina wenyewe hicho. Na ndio hawa wafuatao
ALLY H MWINYI kamrithisha mwanae Husein mwinyi ni waziri
JAKAYA M KIKWETE kamrithisha mwanae Ridhiwani kikwete ni mbunge
JULIUS K NYERERE kamrithisha mwanae Makongoro nyerere ni mbunge wa africa mashariki
SAMWELI SITA kamrithisha mkewe anagombea ubunge urambo mashariki baada ya mumewe kustaafu
SAMWELI SITA anamrithisha mwanae Beni sita anagombea udiwani jijini dsm kata ya msasani
SINDE WARIOBA anamrithisha mwanae Kipi warioba anagombea ubunge jimbo la Kawe jijini dsm
MAKAMBA amemrithisha mwanae January makamba sasa ni waziri
NNAUYE amemrithisha mwanae ambae sasa anagombea ubunge jimbo la mtama
Sasa wewe unaejifanya ccm endelea kuburuzwa utaishia kuwa kada hata ukuu wa wilaya huapati

Mtei kampa mkwe wake Mbowe CHADEMA awe mwenyekiti wa maisha. Simbirisi wewe, kama baba yako alikuwa jambazi na wewe utakuwa jambazi tu, na kama baba yako alikuwa mvuvi wa dagaa, sio ajabu na wewe ukawa mvuvi wa dagaa pia. Dunia ndivyo ilivyo, usibishane nayo, utaishia kutoka mapovu mdomoni tu. America imetawaliwa na Bush na mtoto wake na sasa hivi kuna mwingine tena alikuwa anatafuta kuteuliwa na chama chake anaitwa Jeb Bush. Ndoroooooooooooooooooooooooooobo mkubwa wewe.
 
George Bush babake alikua Rais USA. Mo Dewj babake alikua mfanyabiashara nk

Wanasaikolojia wanatuambia kwamba ni rahisi watoto kufanya kazi wanazofanya wazazi wao kwani ndio waalimu wao wa kwanza

Mpaka sasa wewe unachimba chumvi kwa sababu ndio kazi ya marehemu babu yako, na baba yako.. Nawe ukaijifunza..

Weka hoja nyingine mkuu

Ina maana ipo siku na wewe utajichubua na kuvaa hereni?
 
Nafasi zakuteuliwa ndizo zinashida. si rahisi kurithi fani za kitaalamu mfano,sheria,uhasibu,udaktar,
rubani, u profesa na nk,na hata ukiweza huwez pata nafasi ileile kw idadi kubwa ya warithi, mfano inawezatokea mtoto wa rais kuwa rais pia, ila si watoto wa mawaziri kuwa mawaziri pia. au watoto wa majaji kuwa majaji pia na nk.
ishu si ushabiki? sishangai watoto wa viongoz kurithi, sababu wao wamesoma shule nzuri hivyo ni bora kuliko sie kwa nafasi zile japo wapo masikini wengi na wamebahatika kwenda shule tena kuzidi wao na wana akili sana.ila hawapati nafasi zile: kila nafasi ya uteuzi na kitaalam hupewa wasio na sifa kw kigezo cha vyeo vya wazazi.
 
Ya mtei kumuachia bob makani shemeji yake na mkwe wake mbowe, kupeana vyeo kiudugu mzee ndesamburo mwanawe lucy owenya, mkwewe grace kihwelu lissu na dada yake,hawara wa mbowe kama hiyo haitoshi robo tatu ya viongozi ni kutoka kilimanjaro, arusha na manyara hayo hamuyaoni? Kama mlifikiri ni chama cha siasa mmeumia bali ni kikundi cha wapigaji wanaojiendesha kwa misingi ya chuki

Umemaliza kila kitu!! Safiiiiiii sanaaaa!!!!
 
= akili

Wacha uongo hao wote waligombea na wakachaguliwa kwa kura kidemokrasia.

Onesha sasa wa chadomo waliopeana nafasi za ubunge za upendeleo.

Nani asiyependa kufanya kazi aifanyayo baba'ke? Labda awe mpika mbege tu.

Upo sahihi kabisa madam!!
 
Kwa taarifa yako wewe sio mwana ccm damu kama unavojipambanua,isipokuwa huna akiri kichwani mwako.chama kina wenyewe hicho. Na ndio hawa wafuatao
ALLY H MWINYI kamrithisha mwanae Husein mwinyi ni waziri
JAKAYA M KIKWETE kamrithisha mwanae Ridhiwani kikwete ni mbunge
JULIUS K NYERERE kamrithisha mwanae Makongoro nyerere ni mbunge wa africa mashariki
SAMWELI SITA kamrithisha mkewe anagombea ubunge urambo mashariki baada ya mumewe kustaafu
SAMWELI SITA anamrithisha mwanae Beni sita anagombea udiwani jijini dsm kata ya msasani
SINDE WARIOBA anamrithisha mwanae Kipi warioba anagombea ubunge jimbo la Kawe jijini dsm
MAKAMBA amemrithisha mwanae January makamba sasa ni waziri
NNAUYE amemrithisha mwanae ambae sasa anagombea ubunge jimbo la mtama
Sasa wewe unaejifanya ccm endelea kuburuzwa utaishia kuwa kada hata ukuu wa wilaya huapati

Bora CCM wameisambaza image yao kitaifa na ndo maana unaona Mwinyi yuko visiwani, Warioba yuko k.ziwa, Kawawa yuko kusini na hata kanda zingine .Wenzetu Ukawa viongozi wenu na wanaorithishwa pia wote wanatokea/wana asiri ya ya kanda moja ya kaskazini wakati Tanzania ina kanda zaidi ya sita ..sasa tunawezaje tukaamua kuwa na chama ambacho viongozi na warithi wake wote ni kanda moja? ina maana wanaostahili ama wenye akiri ni wale tu wanaotokea kanda moja?
 
Back
Top Bottom