mimi huwa nashika pembe la ng'ombe live
mimi huwa nashika pembe la ng'ombe live
Teheeee nakusoma sana hapa bibie....
stay away
Mmmmh! Mi bado mdogo jamaniii!!
Yaani nyie? Halafu utakuta mtu kastrip kabaki na chupi tu badala ya kulala ndio kwanza anajiangalia kwenye kioo sijui nywele ajitengeneze,sijui nyusi,atagueka upande huu na huu, sijui anaenda wapi usiku wa saa 4! Kumbe lengo uone maumbile yake uhamasike mwishowe umhimize aje kulala haraka maana ushaaza kupumulia mashine!!
Nashangaa, watu wa pwani hatuna hili wala lile, ukijifukiza oud wako wa mawardi, ukiifukiza na nyumba akikuta kikoi chake na khanga zako zimefukizwa ma oud, sharti nyumba inanukia kwa maoud ya mawardi, kitanda kimetupiwa asumini za hapa na pale, umeshajitia kikuba chako cha asumini na viluwa kichwani.
Hapo kuna kuongea tena? au kuna unaanzaje? Mnanchekesha!
Mmmmh! Mi bado mdogo jamaniii!!