Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,185
- 10,912
Binafsi sifuatilii yeyote aliyenitenda kama anafanikiwa au mambo yanamuendea kombo. Ikitokea nimejua sawa, nisipojua pia ni sawa. Ila la uhakika ni kuwa, nitakuwa mbali naye kiaiana ili mambo mabaya yasijirudie.Kuna watu tumefanyiwa Mambo ya ajabu Sana na watu tuliowaamini na kuwathamini
Kitu kimoja kikubwa nmejifunza kuhusu maisha
Ni kwamba It goes on
Nasamehe nasamehe , nasamehe kwa faida ya moyo wangu
Kama karma IPO sawa
Usikute na Mimi nalipa Mambo ya mzee wangu
Samehe endelea na maisha sifuatilii anaendeleaje
Atajua mwenyewe kikubwa nahakikisha na mafanikio makubwa
You will always be offended by some people at some point in your life. Don’t take it to heart. Don’t keep it inside you. Holding on to hurt and pain will only harm you in the long run. Choose to forgive. Release the baggage of your past. Let it go and let the Almighty heal you!
Even the most "genuine" people can fool you. In this day & age it’s hard to tell who’s a true friend. So you go through life hoping people are being sincere & genuine. But be prepared to be let down. It’s part of life. People will hurt you. Only the Almighty can heal you!