Una umri gani? Hili swali linakera sana

Una umri gani? Hili swali linakera sana

Isenye

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2024
Posts
486
Reaction score
2,078
Habari za weekend wataalamu?
Kuna tabia inaboa hasa nimeiona hapa kwenye hili jukwaa la mapenzi.

Mtu anaweza akaanzisha mada yake vizuri tu hapa, watu badala wajikite kwenye kuchangia mada wao wanaanza kumuiliza mleta mada eti una umri gani?sasa najiuliza umri wa mtu na mada aliyoleta vina uhusiano gani?

Hii kitu inaboa sana wakuu.
 
Una umri gani

Umri ni muhimu kujua maana stori za mtoto wa miaka 17 haziwezi fanana na mwanaume wa miaka 30+

Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
 
UNAPEWA JIBU KULINGANA NA UMRI ULIONAO

NA PIA

UNAPIGWA KONZI KULINGANA NA UKUBWA WA KICHWA
 
Back
Top Bottom