Una uhakika kabisa Lissu akishika nchi itanyooka?

Una uhakika kabisa Lissu akishika nchi itanyooka?

1Africa54

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2025
Posts
464
Reaction score
543
UPO NA Imani kabisa kua LISU AKISHIKA NCHI itanyooka

Toa evidence kupitia sera zake hapo chini👇👇👇
 
Lissu hawezi kuwa kiongozi wa taasisi yeyote yenye watu wengi. Ni dikteta mbaya kama Magufuli. Ni mjuaji na mbishi na ndiyo maana Magufuli alimshmbulia kwa risasi. Hana karama ya uongozi, hana busara, ni mropokaji, hakubali mawazo mbadala


Ndiyo maana baada ya kupata UWENYEKITI tu ndani ya miezi 2 amekuwa mtuhumiwa wa UHAINI

Mwisho wa Lissu ni uwaziri Mkuu kazi ya kutumwa lakini siyo yeye awe mwamuzi wa mwisho
 
UPO NA Imani kabisa kua LISU AKISHIKA NCHI itanyooka

Toa evidence kupitia sera zake hapo chini👇👇👇
nchi kunyoka inategemea yule apo juu anaeongoza , hawa hakuna kuchapwa viboko.

Lissu ni mtu anaefuata sheria na haki , sasa taifa likisha kuwa na katiba bora , sheria safi ,ambavyo lissu anaweza vitekeleza bila shaka yoyote, kwanini nchi isinyooke.

Unaonaje Zambia
 
Back
Top Bottom