Una muda gani mpaka sasa?

Una muda gani mpaka sasa?

Sababu ilikua nini kukaa miaka 6?
Nilikuwa busy na kazi fulani mahali, lakini pia nilikuwa mwoga wa HIV, unajua miaka ile Ukimwi ulikuwa unatisha sana.

Kwahiyo tulijengewa huo uwoga, kwamba kwa kila Wanawake 10 utakaokutana nao, basi 5 kati yao walikuwa wameungua

Hiyo ilipelekea kuwa makini kabla hujaanzisha mahusiano mapya
Kila ukipewa unataka tena 😋🔥🔥
Yaani ilikuwa balaa, unajua ukiwa na kiu cha vile, hata usingizi hauji, kila muda unapanda tu....unashangaa umepanda mara 8 kwa siku

Na ukiguswa tu, mnala huo 🙌

Bora tumezeeka sasa
 
Kaji ya hale mledaka ba mjini! Jaga kokijiji minge no! Ng’wenoyo kienyeji minze ga kwandya! Beng’we mledaka bape basoga duhu!
Ihaha iwe njini nolo mu Kijiji ndoho mali ghete. Ihaha tuli beti duhu...

Beng’we mledaka bape basoga duhu!
Mwanike wanilekaga hange? Babe=weupe? Basoga=?
 
Nilikuwa busy na kazi fulani mahali, lakini pia nilikuwa mwoga wa HIV, unajua miaka ile Ukimwi ulikuwa unatisha sana.

Kwahiyo tulijengewa huo uwoga, kwamba kwa kila Wanawake 10 utakaokutana nao, basi 5 kati yao walikuwa wameungua

Hiyo ilipelekea kuwa makini kabla hujaanzisha mahusiano mapya
Ilikua vizuri maisha bila afya bora ni kasheshe
Yaani ilikuwa balaa, unajua ukiwa na kiu cha vile, hata usingizi hauji, kila muda unapanda tu....unashangaa umepanda mara 8 kwa siku

Na ukiguswa tu, mnala huo 🙌

Bora tumezeeka sasa
Ebu simulia ulivyokua unapanda na kushuka mala 8🤪
 
Ilikua vizuri maisha bila afya bora ni kasheshe
Suala la kulinda afya ni jambo la muhimu kwa kijana yeyote mwenye malengo na kesho yake, Mimi nilikuwa mmoja wao. Kwahiyo niliona bora kujipa likizo ya miaka 6 wakati natafuta mtu sahihi wa kufanya naye maisha
Ebu simulia ulivyokua unapanda na kushuka mala 8🤪
Ukiwa kijana, hizo ni safari za kawaida, huoni wimbi la wake za watu kuwapa mizigo vijana, ni kutokana na hizo nguvu

Mke akirudi kwa mume wake ni round moja, wakati huko kwa Vijana anakimbizwa round 4 hadi 6

Na kwasisi Wazee ndiyo round moja baada ya miezi 12 😢🙌
 
Suala la kulinda afya ni jambo la muhimu kwa kijana yeyote mwenye malengo na kesho yake, Mimi nilikuwa mmoja wao. Kwahiyo niliona bora kujipa likizo ya miaka 6 wakati natafuta mtu sahihi wa kufanya naye maisha
Safii wewe ni mfano wa kuigwa
Ukiwa kijana, hizo ni safari za kawaida, huoni wimbi la wake za watu kuwapa mizigo vijana, ni kutokana na hizo nguvu
Kuna vijana pia wanalalamikiwa Hamna kitu
Mke akirudi kwa mume wake ni round moja, wakati huko kwa Vijana anakimbizwa round 4 hadi 6
Nani aliwaambia tunataka round ningi😁
Na kwasisi Wazee ndiyo round moja baada ya miezi 12 😢🙌
Kuna wazeee ni nomaa🔥🤪
 
Back
Top Bottom