DALALI MKUU
JF-Expert Member
- May 7, 2022
- 2,571
- 6,106
Mama yake ndio amesema waendelee kunyonya au naibiwa?Uongooo 🤣🤣🤣 mtoto ananyonya miaka 3 hakunaaa
Mama yake ndio amesema waendelee kunyonya au naibiwa?Uongooo 🤣🤣🤣 mtoto ananyonya miaka 3 hakunaaa
Unaibiwa mshenzi wewe🤣🤣Mama yake ndio amesema waendelee kunyonya au naibiwa?
Daah kwisha habariUnaibiwa mshenzi wewe🤣🤣
UmeishaaaDaah kwisha habari
Utakuwa sawa to some point.namaanisha unabebelea kila unachokiona humu kumjaji mtu! sio sahihi!
Haiishi mpk iishe.haya imetosha tusitrendishe uzi..
😂😂Leo makebo umemuacha wapi?
Skupingi kaka mkubwa.
Hahahaha,sawa sawasi ndio vizuri mkifika hakuna story ni kazi tu!
Kwanini unasusa😅Me nakula nnapojisikia
Ila nikikerwa naisusa wiki hata 2 upwiru umpande akakandwe na Bodaboda, Akirudi huko anakuwa na Adabu na namkumbusha bila kuchoka
😅😅😅"Amani inapatikana kwangu tu mimi ndimi mlima sayuni wako wa makimbilio Boda hawana huruma nawe watakuua gheto, Nyambaf"
SafiiiMe natomber kila siku
Hivi ni homa gani hii inanitesa mimi jamani!🥺Skupingi kaka mkubwa.
Wacha haka kahoma kapite Kwanza.
Nichek PMHivi ni homa gani hii inanitesa mimi jamani!🥺
Mkuu ugonjwa tu ndio tukaseme uko!Nichek PM
Tatizo umekalili mkaliMkuu ugonjwa tu ndio tukaseme uko!
Kwamba?Tatizo umekalili mkali
Yanga bingwaKwamba?