Unaongea mkopo..ungesema mortgage ukaona kwanza...mortgage unalipa mara 2 YA hela uliyocbukua Na watu bado Wana hukuaMillion 10 ya leo si sawa na Million 10 ya mwaka 2030.
Nauli za daladala zitakuwa 2500 au zaidi
Huyo The Evil Genius hana anachojua zaidi ya kujiongelesha kama mtu mwenye tatizo la akili.Wee The Evil Genius unaongea kinyume chake. Wengine tuna ukwasi huko tangu miaka 7 iliyopita. Hatuna stress na kustaafu. Tunapata 14% kwa mwaka. Ila benki ndiyo michosho. Wenyewe wanatoa 5% tu.
Afadhali useme mkuu maana mimi kanibishia kinoma.Huna unalolijua hacha kujivua nguo
Yah hela ya pamoja ina thamani kuliko hela ya mafunguUnaongea mkopo..ungesema mortgage ukaona kwanza...mortgage unalipa mara 2 YA hela uliyocbukua Na watu bado Wana hukua
Yaani udundulizi kuweka milion 18 Kwa mipaka mi5 ..hivi unajua maana YA Shida mkuu..just imagine umeweka Akiba hiyo..Kisha mtoto wako akaugua saana hapo ni mwaka Wa 3 wa saving..una milion 7 ..Na mtoto matibabu yanahitaji atalist 6 milion Je utaacha mtoto afe au utaendelea kusave bila kuchukua mtoto
Mambo sunked cost, kinked demand ahahhaUmenikumbusha macho ya economics,, opportunity cost,
Hoja yako ni kukopa ama UTT?
UTT umeijua leo ama?
Ni mtu asieelewa vyanzo vya uwezkezaji tu anaeweza kupeleka hela zake UTT.
UTT return yake haizidi 5% kwa mwaka sasa hiyo laki 3 na upate 3.6 kwa ambazo jumla na return haitazidi 3.8, hii sio akili.
Weka fixed deposit ya bank ambayo wanatoa kuanzia 9% to 11% ambazo ndio bank nyingi wanatoa sasa.
Tukirudi kwenye kukopa, kuna kitu kinaitwa opportunity cost, uangalie, uchukue leo mkopo ufanyie jambo lako ama usubiri ukusanye kidogo kidogo kwa miaka 3 ama 5 ndio ufanye hilo jambo.
Mwisho inabaki kwenye maamuzi ya mtu kutokana na kipaumbele chake.
Mkuu kwahiyo ukikopa na ukawa ile hela imeshatumika na sasa mshahara ni laki 4+ ndio utaweza kumhudumia huyo mtoto?Unaongea mkopo..ungesema mortgage ukaona kwanza...mortgage unalipa mara 2 YA hela uliyocbukua Na watu bado Wana hukua
Yaani udundulizi kuweka milion 18 Kwa mipaka mi5 ..hivi unajua maana YA Shida mkuu..just imagine umeweka Akiba hiyo..Kisha mtoto wako akaugua saana hapo ni mwaka Wa 3 wa saving..una milion 7 ..Na mtoto matibabu yanahitaji atalist 6 milion Je utaacha mtoto afe au utaendelea kusave bila kuchukua mtoto
Time value of money, wanahitaji pesa SASA HIVI, sio miaka mitano ijayo.Mtu analipwa laki 8 kwa mwezi baada ya makato yote halafu anachukua mkopo wa milioni 10+ na anaanza kukatwa karibu laki 4 kwa miaka mitano.
Hizi akili watu wanatoa wapi? Hela zenyewe hamna cha maana mnafanya na matokeo yake mnasumbua watu kwa kuombaomba na mnapoteza ufanisi kazini.
Unachangia mabenki asilimia 16 kwa mwaka ambayo ni asilimia 80 ya pesa yako unayoipata kwa shida katika miaka mitano. Benki zinanufaika kwa ujinga wa watu wengi.
Kwanini wewe usihifadhi hata UTT shilingi laki 3 kwa mwezi? Kwa mwaka utakuwa na 3.6m na miaka mitano itakuwa 18m, tena hapo bila kuweka faida yake.
Mzee umekamatwa na huyo jamaa hata hajui UTT ni kitu gani. Anajiropokea tu asilimia bila hata kufahamu chochote.Point kubwa sana hii
Jifuneze kuandika vizuri kwanza ndio uje tujadiliane.Huna unalolijua hacha kujivua nguo
Kutop up ni kichomi๐๐๐๐Benk zimewafilisi zaidi watumishi kuliko kuwasaidia.
Mtumishi anachojali ni kupata TU Hela na sio madhara ya hio kausha damu usiombe utop up
Mkuu mtu yeyote asiyeweza ku save na kukuza hela kwa kudunduliza hata akipewa milioni 100 atazipoteza tu. Hakuna tajiri anayedumu asiyejua kuishi maisha ya kujibana.Time value of money, wanahitaji pesa SASA HIVI, sio miaka mitano ijayo.
Hata kwenye biashara Hakuna Tajiri aliyetoboa kwa kusave (kudunduliza).
Tatizo ni kukopa kisha kuiwekeza kwa kitu ambacho hakikuingizii faida, mfano unakopa unanunua gari. Miaka mitano ijayo gari yako haitafika ๐๐
Mzee umekamatwa na huyo jamaa hata hajui UTT ni kitu gani. Anajiropokea tu asilimia bila hata kufahamu chochote.
Uchoyo huo๐Mkuu mtu yeyote asiyeweza ku save na kukuza hela kwa kudunduliza hata akipewa milioni 100 atazipoteza tu. Hakuna tajiri anayedumu asiyejua kuishi maisha ya kujibana.
Wewe kwanza ni muongo, mimi nina 40m+ liquid fund na ninapata around 370k kwa mwezi, haiwezekani wewe na 30m upate 467k.We fala, nina 30m UTT mwaka wa 4 huu, ambayo napata kama 467,000 kwa mwezi, is pretty much useless, kama ningeizungusha hiyo hela kwa Boda boda ningepata zaidi.
Bila ubahili hakuna utajiri ๐ huoni Mo hawapi simba hela zao?Uchoyo huo๐
Wewe kwanza ni muongo, mimi nina 40m+ liquid fund na ninapata around 370k kwa mwezi, haiwezekani wewe na 30m upate 467k.
UTT ni uwekezaji, ukiona haufai nenda kafanye biashara.