Una malengo na mimi.?

Una malengo na mimi.?

Me kuna mwanaume nlikua nae since 2016 ila hatukuwahi kuwa na amani in mchezo wa kusalitiana kusameheana kuachana kuludiana vipindi vigumu na vyepesi mwenzangu kwa upande wake kafanikiwa kiasi ana biashara zake usafiri (pikipiki) na nyumba kajenga japo hajawahi nionesha....sasa mwenzangu akiwa na nyege break ya kwanza kwangu mmmh nkaona mbona mshkaji apa tunafanya mapenzi tu lkn kwenye mambo mengine yupo kivyake na wengineo nkaamua kumuuliza kama ananiona kwenye future yake kama me tutafika mbali kama mkewe akabaki ameduwaa....akasema cwezi kukujibu saiz kaondoka kesho yake akanipigia cm kua tuwe marafiki mpka atakapo badilisha mawazo.... Nkasema poa kila MTU kashika 50 zake....
Nilimuuliza ivo ili nijue nipo position gani kwake na kweli kumbe mtu anakuona kama friend ake tu nkashukuru Mungu nkaendelea na life langu nw najifeel peace ....

am better here
 
Hahahha duu huyu jamaa kwel alikuw hakupend hta kupretend hakuna kbsa
Me kuna mwanaume nlikua nae since 2016 ila hatukuwahi kuwa na amani in mchezo wa kusalitiana kusameheana kuachana kuludiana vipindi vigumu na vyepesi mwenzangu kwa upande wake kafanikiwa kiasi ana biashara zake usafiri (pikipiki) na nyumba kajenga japo hajawahi nionesha....sasa mwenzangu akiwa na nyege break ya kwanza kwangu mmmh nkaona mbona mshkaji apa tunafanya mapenzi tu lkn kwenye mambo mengine yupo kivyake na wengineo nkaamua kumuuliza kama ananiona kwenye future yake kama me tutafika mbali kama mkewe akabaki ameduwaa....akasema cwezi kukujibu saiz kaondoka kesho yake akanipigia cm kua tuwe marafiki mpka atakapo badilisha mawazo.... Nkasema poa kila MTU kashika 50 zake....
Nilimuuliza ivo ili nijue nipo position gani kwake na kweli kumbe mtu anakuona kama friend ake tu nkashukuru Mungu nkaendelea na life langu nw najifeel peace ....

am better here




Sent from my iPhone using JamiiForums
 
We mjibu unayo malengo naye hata kama hauna malengo nae, wewe tunga uongo wowote ule ilimradi aridhike mtoto keshakuelewa hapo anatafuta sababu ya kukupa mzigo uulee...
 
Manake hamchelewi kuanza.kusema oooh hanivutiii oa kwanza ndo mzae thank me later
Haya yako sasa, azae kwanza malengo yatafata


Sent from my iPhone using JamiiForums

am better here
 
Hahahha duu huyu jamaa kwel alikuw hakupend hta kupretend hakuna kbsa





Sent from my iPhone using JamiiForums
Yes nililigundua hilo ndo mana nkamuuliza ilo swali maana nisije kuwa nakataa wakaka.walio serious kisa nashikiria mahusiano mfu maana hataki hata umkumbatie afu nikiwa nae full kunitoa kasoro na kunitemea shit kisa mwenzangu kaanza shika vihela....

am better here
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom