"Una malengo gani na Mimi?"

"Una malengo gani na Mimi?"

GenuineMan

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2017
Posts
7,068
Reaction score
16,380
Hakuna Swali napata shida kulijibu kama hili.

Mdada(Demu), ambae nimemfuata kwa ajili ya uhusiano wa muda anaponiuliza swali hili huwa nashindwa nijibu nini.

Naogopa kumwambia ukweli, na naogopa kumwambia kitu ambacho anapenda( ndoa).

Pongezi kwa wadada(mademu) ambao huwa hawaulizi swali hili. Huwa wanajiongeza wenyewe.
 
A genuine man would tell her right away, the genuine mans way.

Japo ndoa ndio ideal lakini sio kila mwanamke anaitaka! Kuwa real hata nguvu za kiume zitakuwa dhatiti maana wasiwasi na wiziwizi(kuuibia mwili wako) itakuwa hamna tena.

Kama mi namuambia tu nnachokitaka kweli. Kama hawezi kuuhandle ukweli basi hanifai iwe ni kwa muda au kwa kudumu damn it.
 
Wakati takwimu mbalimbali zikionyesha mimba shuleni, vyuoni zikipungua, Mwananchi limebaini kuzuka kwa mbinu mpya haramu za utoaji mimba ambapo dawa zilizotengenezwa maalumu kutibu magonjwa ya aina fulani, ndizo zinazotumika kinyume kufanikisha vitendo hivyo.
 
Hakuna Swali napata shida kulijibu kama hili.

Mdada(Demu), ambae nimemfuata kwa ajili ya uhusiano wa muda anaponiuliza swali hili huwa nashindwa nijibu nini.

Naogopa kumwambia ukweli, na naogopa kumwambia kitu ambacho anapenda( ndoa).

Pongezi kwa wadada(mademu) ambao huwa hawaulizi swali hili. Huwa wanajiongeza wenyewe.
Wa hivo dawa huwa kuwadanganya tu. Huwa hawapo serious. Huwezi kuuliza swali la kijinga nimekutongoza leo. Mwambie nataka nikuoe tuwe mke na mme
 
Back
Top Bottom