Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 53,276
- 72,488
Kila mtu ana kitu kile ambacho mwenzake hana na kila mmoja anatumia kipawa chake kwa usahihi kabisa kuliko mwenzake.
Kipawa na uwezo wa kufanya kitu chochote kile ambacho kinaweza kuwa kigumu kwa baadhi ya watu/mtu (Kipaji)
Naamini kila mmoja anajua kipawa chake hadi sasa kama huna kipawa basi pole sana na Mungu akuoneshe kipawa chako na jinsi ya kukitumia.
Kwangu mimi nina kipawa cha USHAWISHI nasema hili kwa uhakika sana ninaweza kushawishi pande mbili kuwa sawa au pale ambapo hakuna amani kukawa na amani, naweza kubadilisha mtu mawazo yake na akaenda vile navyotaka kwa muda mfupi sana.
Kwangu mimi Najivunia sana kuwa na kipawa hiki wote ambao wamekuwa na mimi wamejikuta wanapita njia yangu, marafiki, wapenzi, ndugu na jamaa.
Kwako wewe una kipi unachoweza kushukuru Mungu kuwa amekupa kitu cha kipekee kuliko yeyote?
Karibu.
[emoji15] [emoji87] [emoji779] [emoji779]Kawaida yako hiyo
Ipo mifano hai nashindwa kuthibitisha maana ushahiwishi sio maandishi mkuu.
Thibitisha mkuu hapo nilipo bold
[emoji2] [emoji2] [emoji2]mimi kuomba ela nikaomba ela lazima nipewe
Tatizo nauli [emoji106]Kuna mashindano ya kuvuta, ila yanafanyika Bahamas mwezi wa 9 vipi tutaenda sadari wangu!?
Mkoa gani mkuu!?Tatizo nauli [emoji106]
Naomba nkukabidhi mdeni wangu anapiga chenga kunilipa deni langu[emoji22]Mimi nadhani kujisimamia. Huwa siyumbishwi hata kidogo katika misimamo yangu hata kama ulimwengu mzima unapingana nami...
Kingine ni kudai. Aisee najua kudai duh! Hata uwe bingwa namna gani kwenye dhuluma, mimi utanilipa tu! Halafu huwa natumia steps ambazo nazipanga kuendana na mdaiwa.
[emoji1] [emoji1] yupo wapi huyo jamaa?Naomba nkukabidhi mdeni wangu anapiga chenga kunilipa deni langu[emoji22]
Sio hata jamaa ni mwanamke yuko Mwanza[emoji38] [emoji38] [emoji38][emoji1] [emoji1] yupo wapi huyo jamaa?
F. Jr.
[emoji1] [emoji1] dah wanawake wengi wanapenda dhuluma sijui kwanini!! huwa nawakomesha aisee[emoji41]Sio hata jamaa ni mwanamke yuko Mwanza[emoji38] [emoji38] [emoji38]
Kuogelea ni kipawa!? Au mtu unajifunza labda sijaelewa! Kwamfano mtoto anakua amezaliwa na kipawa cha kuimba tangu utotoni yeye anaimba tu akianza kupata akili anaanza kutunga nyimbo! Ndio mm najua hivyokuogelea
You are gifted!Natambua fikra za MTU kwa kumwangalia tu. Haihitaji anieleze. Nikimuona tu physically basi. Sikusomea na wala si kwa dawa.
Naajiuliza sana no uwezo gani Mola alinipa
Ipo mifano hai nashindwa kuthibitisha maana ushahiwishi sio maandishi mkuu.
Tuko pamoja kweny ilo kundi dadaake……!!!Huruma sijui ndo kujali maana mtu akiwa na shida naumia nakosa amani[emoji27]
Naweza sasa kw swali lako kusema nithibitishe hilo siwezi kuthibitisha kwa kitu ambacho hakipo, ina maana kuwa ushawishi utadhihirika pale utakapo nipa jukumu la ushawishi ila hii ya kusema nithibitishe inaniwia ugumu kuthibitisha kitu ambacho hakipo.Ushawishi wa face2face unamaanisha, wa kwenye maandishi huwezi ama?
poa sana mkuuNaweza sasa kw swali lako kusema nithibitishe hilo siwezi kuthibitisha kwa kitu ambacho hakipo, ina maana kuwa ushawishi utadhihirika pale utakapo nipa jukumu la ushawishi ila hii ya kusema nithibitishe inaniwia ugumu kuthibitisha kitu ambacho hakipo.
Ni kitu kinachoenda na vitendo mkuu.