gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
"Una hamu nikumchambeeee nikikuchamba utaliaaaa"
"una hamu nikusemeeee nikikisema utazimiaaaaa"
jamani hiki nikipande tu cha wimbo wa taharabu wa jahazi. dah ulifikir nn? utasonyajeeee!
maneno siyo risasi useme yanaua....
wala siyo moto usema yanaunguza......
wala siyo gari usema linagonga......