Nafikiri haya ni maoni yako baada ya kupitia machapisho ya UN yule hawajajibu.Heading yako haiko sawa au wewe ndiyo msemaji wa UN?
Mimi nafikiri kishoka hapa utakuwa wewe,tumekimbilia kusemea maslahi yao tu ilihali madai yao ya msingi ni pamoja uboreshaji wa huduma muhimu kwaajili ya kuweza kufanikisha utendaji kuwa rahisi na nchi kuepuka gharama za kupeleka viongozi nje ya nchi.Au tumesahau hata kutumbuliwa chunusi viongozi mpk India!
Hao madokta wenu wakurupukaji saaana!!!
Walitakiwa wasome hivyo vipengele kwanza kabla ya kupeleka malalamiko yao huko na waombe ushauri kwa wataalamu wa mambo ya sheria na haki za binadamu si wapo wengi tu, ina maana hata hao the so called wanaharakati hawajui kanuni na misingi ya UN? Ndio maana serikali inawabwaga mahakamani kila siku wao badala watafute legitimacy ya kisheria wanakimbilia kwenye mbinu za kitoto kama watoto wa shule FORM 2.
I am very very dissapointed with these Ngumbalus.
mbona sielewi?haya ni majibu ya barua ya MAT kwa UN au maoni ya mleta thread?
Hapo kwenye Red hata ile ya Zombe pia? Hapo Kwenye Green Serikali na mbinu zake za primary kutumia Mahakama kama ndiyo kimbilio lake baadala ya kumaliza matatizo kwenye meza ya mazungumzoHao madokta wenu wakurupukaji saaana!!!
Walitakiwa wasome hivyo vipengele kwanza kabla ya kupeleka malalamiko yao huko na waombe ushauri kwa wataalamu wa mambo ya sheria na haki za binadamu si wapo wengi tu, ina maana hata hao the so called wanaharakati hawajui kanuni na misingi ya UN? Ndio maana serikali inawabwaga mahakamani kila siku wao badala watafute legitimacy ya kisheria wanakimbilia kwenye mbinu za kitoto kama watoto wa shule FORM 2.
I am very very dissapointed with these Ngumbalus.
UN office receives medics' plea | Send to a friend |
Tuesday, 10 July 2012 22:19 |
digg By Mkinga Mkinga The Citizen Reporter Dar es Salaam. The United Nations office in Dar es Salaam yesterday acknowledged receipt of a letter from the Medical Association of Tanzania (MAT) seeking protection of Dr Stephen Ulimboka who is receiving treatment in South Africa. The UN communications analyst, Ms Hoyce Temu, said yesterday that the resident coordinator of the global body, Dr Alberic Kacou, received the letter on Monday evening and immediately started consulting other partners on how to address issues raised by the document. "The resident coordinator will be meeting with representatives of UN agencies for consultations and drawing more expertise on how to address issues raised in the letter," Ms Temu said. She said there were also many actors mentioned in the letter, including the doctors themselves through MAT, the government, and civil society organisations. As a result, she noted, attending to the doctors' requests would need more time so as to get the issues right from all sides prior to intervention and mediation. "UN is a transparent organ and believes in peace and stability of its member states, including Tanzania," she noted. On Monday, MAT appealed to the United Nations and the international community to ensure the security of Dr Ulimboka in South Africa, where he is receiving treatment. MAT said in its letter that "…anonymous government sources have confirmed to MAT that a team of assassins has been deployed to South Africa to make sure Dr Ulimboka doesn't come home alive." The letter also appealed to the UN to ensure the security of other key actors in the association. Following the extended strike, the letter said, the security of some of the key actors had been compromised. Dr Ulimboka, who was a key figure in a committee assigned to negotiate the doctors' new terms of service and salaries with the government, was seriously injured after unidentified assailants kidnapped and beat him up. He was flown to South Africa last week for specialised treatment. He was kidnapped as doctors were planning a second nationwide strike after what they described as the government's failure to meet their demands. He suffered grievous injuries during the attack that left the nation stunned. The letter was accompanied by a DVD video in which Dr Ulimboka gives an account of the attack. "The Tanzanian judicial system should be advised to refrain from being used for political advantage," said the two-page letter copied to the Legal and Human Rights Centre, Sikika Tanzania, Tanzania Gender Networking Programme, Tanzania Media Women's Association, Human Rights Watch and Amnesty International. Source:The Citizen |
Madaktari vijana msiwe na kiburi waombeni radhi watanzania ili mrudi kazini.
Katika suala hili you lose, both public and national sympathy.
Hamuhitajiki sana kama mnavyofikiri na wanaowaunga mkono ni olitical opputunists.
At any rate damage mliyofanya mtalipa tu, kwa vyovyote vile, lakini kwa manufaa yenu ombeni radhi kwa Rais wa Jamhuri.
mbona sielewi?haya ni majibu ya barua ya MAT kwa UN au maoni ya mleta thread?
Tukianza kuzalisha mafuta watakuja wenyewe.
Siyo kosa lako ni KIBURI cha uzima kinakusumbua,siku utashikika utajua umhimu wa DR hata kamaMADOCTOR wa tz wapasua kichwa badala ya mguu ni wapuuzi hawana maana, vishoka wakubwa afu wanaringa, wangekuwa wanaelewa sasa wangefanya nini si wangetusumbua sana, hapo tu mambumbumbu bado wanatuumiza vichwa,....kama wao ni madoctor kweli mbona ulimboka wanampelekwa kwa madoctor wenzao waliosoma shule ikasomaka huko india na souz africa? wao wameshindwa? vishoka hawana maana, yaani nikiwaona nao ati wanaringia profession yao huwa nacheka sana walevi hawa. kwanza wamezidi kutuibia madawa yetu kupeleka kwenye pharmacy zao.
madoctor imekula kwao! serikali inamkono mrefu jamani! na najua tunalijua ilo<sema tunabishana tu humu ndani kwa hulka zetu za kisiasa! ila ngoja tuone
Je ni kweli ni Ma DR wetu tu wewe hawakuhusu,una mwili wa chuma au wewe ni kati ya waleHao madokta wenu wakurupukaji saaana!!!
Walitakiwa wasome hivyo vipengele kwanza kabla ya kupeleka malalamiko yao huko na waombe ushauri kwa wataalamu wa mambo ya sheria na haki za binadamu si wapo wengi tu, ina maana hata hao the so called wanaharakati hawajui kanuni na misingi ya UN?
Ndio maana serikali inawabwaga mahakamani kila siku wao badala watafute legitimacy ya kisheria wanakimbilia kwenye mbinu za kitoto kama watoto wa shule FORM 2.
I am very very dissapointed with these Ngumbalus.
WanaJF nimepata habari muda si murefu kutoka chanzo changu cha kuaminika
kuwa UN Dar es salaama wamareject MAT's request
Chanzo kinasema UN hawawezi kuingilia mamlaka ya nchi kama nchi yenyewe inaweza kuyamaliza
maana hawawezi kuingilia uhuru wa sheria ndo maana baada ya MAT kuandika barua UN the next
day Mwenyekiti wa MAT alikuwa arrested na kupelekwa mahakamani
Kifungu kinacho wabana madoctor hiki hapa chini maana wamegoma then wanataka UN help
The Protection of Human Rights and the Principle ofNon-intervention in Internal Affairs of States
(b) Article 2.7 of the UN CharterArticle 2.7 of the Charter of the United Nations provides that Nothing contained in thepresent Charter shall authorize the United Nations to intervene in matters which areessentially within the domestic jurisdiction of any state or shall require the Members tosubmit such matters to settlement under the present Charter; but this principle shall notprejudice the application of enforcement measures under Chapter VII. Practice underArticle 2.7 has developed over time, and its practical importance is by now significantlyreduced.concern whose active promotion is a major part of their foreign policy
Vienna Convention on Diplomatic Relations, Article 41
It seems to be still well-established the diplomats should not interfere in the internalaffairs of the State to which they are accredited. But even here, as the leading work onthe subject points out, there is a tension between the duty of a diplomat under Article 41of the Vienna Convention, not to interfere in the internal affairs of the receiving State andthe opinion of liberal States that human rights are a matter of legitimate international
Among other activities which, depending on the circumstances, contravene the principleof non-intervention are:
(a) Interference in political activities (such as through financial or other support forparticular political parties or candidates, or even perhaps comment on upcomingelections or on the candidates;
(c) Seeking to overthrow the government - so-called regime change, especially in thecase of rogue States It has occasionally been suggested thatintervention in order to restore (or establish) democracy is permitted under internationallaw