UN has rejected Doctor's (MAT) Request

UN has rejected Doctor's (MAT) Request

Ma Dakitari wamesha fikisha ujumbe un kazi kwenu serikali ya Tz . Mahakama ya okampo lazima itawahusu.
 
WanaJF nimepata habari muda si murefu kutoka chanzo changu cha kuaminika
kuwa UN Dar es salaama wamareject MAT's request

Chanzo kinasema UN hawawezi kuingilia mamlaka ya nchi kama nchi yenyewe inaweza kuyamaliza
maana hawawezi kuingilia uhuru wa sheria ndo maana baada ya MAT kuandika barua UN the next
day Mwenyekiti wa MAT alikuwa arrested na kupelekwa mahakamani...


Ok, that was expected for sure, but kwa sasa, moja tayari kuna ugumu kwa mwenye nia yeyote ya kumdhuru mtajwa kama ipo (si kwamb UN wamefumba macho kabisa), mbili, the Tz govn imeshamulikwa in the international arena, ina-lose credibility taratibu, hawa jamaa msiwaone mapimbi kunyamaza, na-file hizo complaints kesho na kesho kutwa alliance iki-change kama upepo unavyoelekea sasa (tifu la meli za Iran) watakusanywa hawa mpaka the Hague, na sisi kwa uaminifu wote tutafuatilia kwenye TV na tutajadili humu kama kawaida yetu!!!!!
 
Madaktari hawajui sheria?! Kesi ipo mahakamani, wakagoma, kama vile haitoshi wakapeleka kesi UN!
 
Hamna kitu hapa, umesoma viena ukaona kifungu kinachorandana ukaona uweke habari, alafu mbaya zaidi umeingia chaka, hebu soma vizuri hizo sababu za interference.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Madaktari vijana msiwe na kiburi waombeni radhi watanzania ili mrudi kazini.
Katika suala hili you lose, both public and national sympathy.
Hamuhitajiki sana kama mnavyofikiri na wanaowaunga mkono ni olitical opputunists.
At any rate damage mliyofanya mtalipa tu, kwa vyovyote vile, lakini kwa manufaa yenu ombeni radhi kwa Rais wa Jamhuri.

wamuombe radhi, amekuwa Mungu!? Hivi unajisikia rahaa gani unapokuta wagonjwa wamelala chini (mfn mzuri nenda wodi ya sewaaji MNH) au kitanda kimoja kimelaliwa na wagonjwa wawili?
Au unajisikiaje unapokuta foleni ya wagonjwa kama 30 kwenye chumba cha mashine ya x-ray??
Ingekua busara huyo rais ndo'aanze kuomba radhi mbele ya Mungu wake na raia.
 
MADOCTOR wa tz wapasua kichwa badala ya mguu ni wapuuzi hawana maana, vishoka wakubwa afu wanaringa, wangekuwa wanaelewa sasa wangefanya nini si wangetusumbua sana, hapo tu mambumbumbu bado wanatuumiza vichwa,....kama wao ni madoctor kweli mbona ulimboka wanampelekwa kwa madoctor wenzao waliosoma shule ikasomaka huko india na souz africa? wao wameshindwa? vishoka hawana maana, yaani nikiwaona nao ati wanaringia profession yao huwa nacheka sana walevi hawa. kwanza wamezidi kutuibia madawa yetu kupeleka kwenye pharmacy zao.

Unafikiria kwa kutumia ubongo au kutumia kiungo kingine? Hao wapuuzi ndio unawakumbuka wakati pressure ya damu ya wazazi wako inapopanda halafu wakikwambia ufanye brain scan kwa wazazi wako unawakimbiza India na wewe unaona sawa tuu. Angalia vitu kwa upana zaidi! If you can't see it the it's beyond you league.
 
Kwa hiyo MAT walikuwa wanategemea UN ilete blue berrets hapa wakiwa na vifaru vyeupe na gari za deraya na bunduki za rashasha ili kumlinda Dr. Ulimboka? Kweli kuwa yaone.
 
This was expected. Lakini serikali iwe makini sana sana maana kilichofanyika ni sawa na 'booking'. UN kusema hawawezi kutoa ulinzi does not mean kwamba all is well. Na mpaka watoe uamuzi ina maana wame-discuss hali ya Tanzania which means tayari wameshajua mambo si shwari. Kwa upande mwingine Tanzania inaanza kupoteza moral authority kuongelea mambo ya amani mbele ya internation community. It is just sad!

Do you know what happened in Zanzibar 2001? Madocs wamechemka. Hivi walitegemea UN wadeploy troops kuwalinda? Wahamie DRC au Somalia. Kwanza hawajui Tz nimmber waUN?Kama kuwalinda na Tz itachangia majeshi right?
 
Mmmh!! hava bandugu havajui sharia?! kesi yao ipo mahakamani, wakagoma and then wakashitaki UN.
 
Madaktari vijana msiwe na kiburi waombeni radhi watanzania ili mrudi kazini.
Katika suala hili you lose, both public and national sympathy.
Hamuhitajiki sana kama mnavyofikiri na wanaowaunga mkono ni olitical opputunists.
At any rate damage mliyofanya mtalipa tu, kwa vyovyote vile, lakini kwa manufaa yenu ombeni radhi kwa Rais wa Jamhuri.

KOSA LA;
1. Wengi wanatafsiri kuwa intern doctor ni daktari kijana(kwa maana umri mdogo alioishi), ikumbukwe kuwa intern ni
daktari aliye mafunzoni despite of his/her age baada ya rotation alizopita katika mafunzo yaani ktk mwaka wa nne na
wa tano.

2. Kuomba radhi watanzania-inakuwaje uwaombe watanzania radhi "ILI KURUDI KAZINI" ikiwa hatukuingia nao mkataba
wa Afya zao,labda ulimaanisha Serikali iombe msamaha wananchi kwani wametoa kodi lakini wanakosa huduma hadi
sasa.

3. "Ili kurudi kazini"-huna haja ya kutuomba turudi kazini wakati mwajiri wetu(serikali ameturuhusu tuondoke tayari),

4. "Public na National sympathy"-tutakuwa ni watu waajabu kutaka public sympathy kwa mambo ambayo yako
obvious!!! Public(umma) unaouongelea unategemea vyombo vya habari ambavyo navyo vimerubuniwa, so katika hili
we expected this.

5. "Hatuhitajiki kama tunavyofikiri"-Hebu angalia takwimu za zamani na hivi karibuni za Shirika la Afya duniani(WHO)-
hata kwa ku-google tu mkuu, uone uwiano kati ya dkt na wagonjwa(Dr to patient ratio), jiulize ni nchi gani haiitaji
madaktari!

Ikiwa nchi nyingine(mf Rwanda, Namibia, Swaziland, Botswana)- usisingizie level tofauti za uchumi kwani
unaweza kujishughulisha kuangalia GDP halafu angalia Resources za nchi, then compare mazingira ya kazi ya nchi
hizo na TZ..Nchi hizi zinashindwa kusomesha madaktari ktk nchi zao na kuchukua kutoka nchi zenye KUWASOMESHA NA KISHA KUWATELEKEZA kama Tanzania!!

Pamoja na uhaba huo mkubwa wa madaktari (1700), 300 Kati yao wakiwa hawafanyi kazi hospitalini ila za
kiutawala(wizarani) na kielimu(wahadhiri),.katika hao waliobaki 120 waliondoka mgomo wa April mwaka huu. Katika
mgomo ulioanza 23.06.2012ajuzi 17wameanza kazi Rwanda, 3New Zealand, 5Botswana, 9 Zambia, 6 Afrika Kusini na
wengine wamehamia private sector na wengine wanaobaki kwani wanastaafu ndani ya miaka miwili...bado tu unasema
hawahitajiki?! na tena wenginemnawafukuza?!!6.

Wengimnadhani intern doctor bado hajahitimu(graduate), lakini hapo ndipo mnapokosea..huyu ni Mhitimu
tayari lakini lazima afanye kazi chini ya madaktari wengine kwamwaka mmoja kabla na yeye kuwasaidia
wale wanaomfuata, Hivyo basi baada ya kuhitimu anaweza kufanya kazi akiwa chini ya uangalizi nchi yeyote
ile!!


7. Wananchi wengi hutumia plan A bila kuwana plan B, sasa sio hao madaktari the rejection of UN to the sent letter was
one of anticipation, it might be as shocking news if you are not good planner or optimistic for that matter!
 
This was expected. Lakini serikali iwe makini sana sana maana kilichofanyika ni sawa na 'booking'. UN kusema hawawezi kutoa ulinzi does not mean kwamba all is well. Na mpaka watoe uamuzi ina maana wame-discuss hali ya Tanzania which means tayari wameshajua mambo si shwari. Kwa upande mwingine Tanzania inaanza kupoteza moral authority kuongelea mambo ya amani mbele ya internation community. It is just sad!
You are dead wrong mister!

Tanzania nchi huru na haka katatizo ni kwa sababu hao vijana wala hawajui wanafanya nini.
Wameondoka Wapemba nji hii na kukimbilia Somalia, na sasa wamerudi wenyewe kwa kubembeleza huko huko UN.

Kama mna akili sana watafutieni nchi ya kwenda tena kwa hiari yao hao quack doctors.

Kama walifikiri wataendelea kubembelezwa basi ni bora wakajitafutie kazi nyingine ya kufanya.

Tatizo kubwa hawajui Tanzania ilikotoka, kwa tunaofahama tunaona ni wapuuzi kutokana na ujinga.

Mitashangaa sana serikali hii, mnayoita dhaifu, ikiendelea kudekeza suala hilo.Lakini kwa hatua zilizo chukuliwa so far ndo mnatambua " udhaifu" wake.
 
Madaktari hawajui sheria?! Kesi ipo mahakamani, wakagoma, kama vile haitoshi wakapeleka kesi UN!

Usikurupuke..Hawajui sheria?? Kama kesi iko mahakamani na haya yanatokea

-Rais ku_overrule, na kutoa uamuzi

-Rais kuchagua tume ya uchunguzi mwenyewe(ikiwa ndiyo inatuhumiwa na upande wa pili), na kabla ya tume kutoa majibu yeye mwenyewe kusema Serikali haihusiki, ni majibu gani unategemea kutoka katika tume?

-"wakagoma" kana kwamba huwa kuna mgomo halali..liini ulienda kupata kibali cha kugoma?? au unadhaani haya yalikuwa maandamano kwenda kuomba kibali!!

-"Wakapeleka kesi UN"--Unajua kesi iliyoko mahakamani ni ipi? Unajua barua iliyokwenda UN ilikuwa na OMBI gani?

-"Mahakamani"-kama kesi bado iko mahakamani na haijatolewa uamuzi, mbona serikali inafukuza intern doctors??


Ushauri: Hii nchi yetu sote, tuchangie ili kuijenga inasikitisha kwa nusu Karne TZ kuwa na madaktari 1500tu wanofanya
kazi katika hospitali za serikali wakihudumia zaidi ya watu mil40!! But above all tuchangia tukijua chanzo cha
mgogoro(madai) na si madhara ya mgogoro tu.
 
Aisee umejitahidi!

Mimi nafikiri kishoka hapa utakuwa wewe,tumekimbilia kusemea maslahi yao tu ilihali madai yao ya msingi ni pamoja uboreshaji wa huduma muhimu kwaajili ya kuweza kufanikisha utendaji kuwa rahisi na nchi kuepuka gharama za kupeleka viongozi nje ya nchi.Au tumesahau hata kutumbuliwa chunusi viongozi mpk India!
 
Dr. Kupeng`e kwani MAT waliomba ulinzi kwa viongozi wao ili wasipelekwe mahakamani au wasidhuriwe kiafya?
 
UN huwa haijihusishi na local labor disputes (controversies between employers and their employees regarding e.g., conditions of employment, fringe benefits etc.) na yatokanayo na hayo... Kweli hapa MAT walichemsha!
 
haya ni majibu ya UN kwa madakatari au huyu mleta mada ameleta sheria za UN na wakati anazisoma alipoona kifungu hicho basi akahisi hapo madaktari watabanwa na kifungu hiho!!!
 
Tunajadili tetesi?? Hakuna ushahidi wowote kuwa maombi yamekataliwa kwa sababu kilichoombwa na MAT hakihusiani na kuingilia uhuru wa nchi ila ulinzi wa Dr. Uli na viongozi wengine, hilo ni moja ya mambo ambayo ni wajibu wa UN kuingilia ili kuhakikisha haki ya kuishi ya watu hao inalindwa.
 
Back
Top Bottom