Mpambalyoto
JF-Expert Member
- Mar 26, 2010
- 751
- 3
Tangu JK aingie madarakani hajawahi kukosa mkutano wa UN general assembly hapo New York. Kwa mwaka huu mkutano huo unaanza kesho tarehe 20 September hadi tarehe 22 September 2010, na sijasoma popote kuhusu ujio wa Kikwete ambaye alizoeleka sana jijini NY kwa mahudhurio mzuri ya mkutano huo; kulikoni jamani huko serikalini?
JK amekalia misumari sasa hivi